Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)
Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.
4. NDOA YA MAONYESHO
Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!
5. NDOA YA UHAMISHO.
Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.
6. NDOA YA MIMBA.
Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.
7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)
Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.
8. NDOA YA KWASABABU.
Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.
9. NDOA YA UPENDO.
Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.
10. NDOA KUCHUMA
Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!
Grace Majaliwa (Guest) on December 23, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2019
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on October 19, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Mchawi (Guest) on October 14, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Juma (Guest) on October 9, 2019
π Hii ni dhahabu!
Elijah Mutua (Guest) on September 11, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Nancy Komba (Guest) on August 31, 2019
π Kali sana!
Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2019
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Betty Cheruiyot (Guest) on July 24, 2019
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Grace Mushi (Guest) on July 6, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Azima (Guest) on July 5, 2019
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Edward Chepkoech (Guest) on June 2, 2019
π€£π₯π
Moses Mwita (Guest) on March 17, 2019
π€£ Hii imewaka moto!
Abubakar (Guest) on March 2, 2019
π Dhahabu ya vichekesho!
Peter Tibaijuka (Guest) on February 17, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Diana Mallya (Guest) on January 11, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Carol Nyakio (Guest) on January 10, 2019
π Bado nacheka!
Rose Waithera (Guest) on January 8, 2019
π Nimeipenda kabisa hii!
George Tenga (Guest) on December 24, 2018
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Neema (Guest) on December 20, 2018
π Kicheko bora ya siku!
Alex Nakitare (Guest) on December 12, 2018
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Charles Mchome (Guest) on October 31, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
James Malima (Guest) on October 30, 2018
π πππ
Margaret Mahiga (Guest) on October 22, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Joseph Kitine (Guest) on October 16, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Jane Muthoni (Guest) on August 28, 2018
ππ€£π
Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2018
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2018
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
George Mallya (Guest) on July 2, 2018
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 16, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Jackson Makori (Guest) on May 15, 2018
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 8, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Shabani (Guest) on April 23, 2018
Asante Ackyshine
Jane Muthoni (Guest) on April 8, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Rahma (Guest) on March 3, 2018
π Umeimaliza kabisa!
Warda (Guest) on February 24, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
John Kamande (Guest) on February 22, 2018
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Dorothy Nkya (Guest) on February 11, 2018
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Kenneth Murithi (Guest) on February 6, 2018
π€£ππ
Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Joseph Njoroge (Guest) on January 27, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Michael Mboya (Guest) on December 5, 2017
π€£π€£ππ
Sekela (Guest) on November 27, 2017
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Brian Karanja (Guest) on November 20, 2017
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Abdullah (Guest) on November 15, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Janet Sumaye (Guest) on November 9, 2017
π πππ
Kassim (Guest) on October 30, 2017
π Bado ninacheka!
John Lissu (Guest) on October 17, 2017
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
David Chacha (Guest) on October 17, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Samuel Omondi (Guest) on September 27, 2017
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Benjamin Masanja (Guest) on September 26, 2017
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Lydia Mutheu (Guest) on September 25, 2017
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Mary Kidata (Guest) on September 23, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Jane Muthoni (Guest) on September 21, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Henry Mollel (Guest) on September 14, 2017
Nimeipenda hii joke! ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2017
πππ
Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2017
Mna talent ya jokes! ππ
Tabu (Guest) on July 30, 2017
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2017
π Kichekesho gani!