Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamim (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on June 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on January 20, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khamis (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 22, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on May 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on January 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hashim (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on September 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kheri (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Khamis (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fe792781622fac4d95c7b2017c2818be, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3