Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?
Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyieβ¦Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.
Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.
Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tuβ¦..πππππ
Shamim (Guest) on June 17, 2019
π Kichekesho gani!
Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
James Mduma (Guest) on June 4, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Mchawi (Guest) on May 31, 2019
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019
Umesema kweli! ππ
Hekima (Guest) on April 8, 2019
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019
π€£π€£ππ
Maimuna (Guest) on March 8, 2019
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019
Hii ni ya maana sana! ππ
Baraka (Guest) on January 20, 2019
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Khamis (Guest) on January 13, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018
Umetisha! ππ
Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018
π€£πππ
Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Kheri (Guest) on September 22, 2018
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018
Nimecheka hadi machozi π€£π
Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018
π Umeshinda mtandao leo!
Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
John Malisa (Guest) on June 5, 2018
π Bado nacheka!
Muslima (Guest) on June 4, 2018
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Maulid (Guest) on May 25, 2018
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018
π Hii ni kali sana!
Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018
π€£π€£ππ
Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mwajuma (Guest) on January 15, 2018
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017
π Kali sana!
Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017
ππ€£ππ
Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017
π Hii imenigonga kweli!
Hashim (Guest) on September 30, 2017
π Nalia kwa kweli hapa!
Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017
π Ninakufa hapa!
Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017
Hii imenifurahisha sana! π€£π
George Wanjala (Guest) on September 16, 2017
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017
Huyu alikuwa na point! ππ
Kheri (Guest) on July 11, 2017
π Dhahabu ya vichekesho!
Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017
Hii imenikuna! ππ
Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017
π€£π€£π
Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Khamis (Guest) on June 30, 2017
π Bado ninacheka!
Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!