Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe James??
JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiweβ¦β¦"
Akameza mate kisha akaendeleaβ¦.
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!
Mustafa (Guest) on June 15, 2019
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Monica Adhiambo (Guest) on June 6, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Issa (Guest) on May 11, 2019
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
James Kimani (Guest) on April 14, 2019
π Naihifadhi hii!
Alice Mrema (Guest) on March 21, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Sarah Karani (Guest) on March 16, 2019
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2019
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
John Lissu (Guest) on January 23, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Ann Awino (Guest) on January 3, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Victor Kimario (Guest) on December 29, 2018
Hii ni kali sana! ππ€£
Susan Wangari (Guest) on December 20, 2018
Nimefurahia sana hii joke! π π
Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Jamila (Guest) on December 13, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
David Kawawa (Guest) on November 29, 2018
Nimefurahia hii sana! ππ
Sarafina (Guest) on November 20, 2018
π Umenishika vizuri!
Elizabeth Mrope (Guest) on November 9, 2018
Umesema kweli! ππ
Anna Malela (Guest) on November 7, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Ann Awino (Guest) on November 3, 2018
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Stephen Kangethe (Guest) on October 31, 2018
π Umenishika vizuri!
Francis Mrope (Guest) on October 14, 2018
ππ€£ππ
Rose Waithera (Guest) on October 8, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on September 7, 2018
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Chum (Guest) on September 1, 2018
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Anna Sumari (Guest) on August 26, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Daudi (Guest) on August 16, 2018
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Andrew Mchome (Guest) on August 16, 2018
π Hii ni dhahabu!
Patrick Kidata (Guest) on August 15, 2018
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Agnes Njeri (Guest) on July 19, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Alice Jebet (Guest) on July 15, 2018
Nimeipenda hii joke! ππ
Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2018
Mna talent ya jokes! ππ
Ruth Kibona (Guest) on June 9, 2018
π Kichekesho kamili!
David Musyoka (Guest) on June 8, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Mariam Hassan (Guest) on April 29, 2018
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Khalifa (Guest) on April 28, 2018
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Catherine Mkumbo (Guest) on April 18, 2018
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2018
Hii imenibamba sana! π π€£
Mariam Hassan (Guest) on April 15, 2018
π ππ
Monica Adhiambo (Guest) on April 7, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2018
π Bado nacheka!
Lucy Wangui (Guest) on February 19, 2018
ππ€£π
Elizabeth Mrope (Guest) on January 21, 2018
πππ π
Kazija (Guest) on January 15, 2018
π Ninaihifadhi hii!
Zuhura (Guest) on December 31, 2017
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Elijah Mutua (Guest) on November 21, 2017
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
David Sokoine (Guest) on November 10, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Victor Kimario (Guest) on November 9, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Charles Mboje (Guest) on November 6, 2017
ππππ
Joseph Mallya (Guest) on November 5, 2017
π Nacheka hadi nalia!
Janet Sumari (Guest) on October 10, 2017
ππππ
Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2017
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Salima (Guest) on September 27, 2017
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
George Mallya (Guest) on September 20, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Mwanajuma (Guest) on September 12, 2017
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Shabani (Guest) on July 24, 2017
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Daudi (Guest) on July 19, 2017
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Ruth Wanjiku (Guest) on June 19, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Alice Mrema (Guest) on June 9, 2017
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Peter Mwambui (Guest) on May 14, 2017
πππ
Mwachumu (Guest) on May 11, 2017
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π