Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"
Janet Sumaye (Guest) on April 23, 2017
ππ
Irene Akoth (Guest) on March 25, 2017
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Nancy Kabura (Guest) on March 20, 2017
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Susan Wangari (Guest) on January 24, 2017
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Kijakazi (Guest) on December 22, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2016
ππ ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016
π Ninacheka sana sasa hivi!
Grace Mligo (Guest) on December 11, 2016
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Esther Cheruiyot (Guest) on October 23, 2016
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Lydia Mahiga (Guest) on October 2, 2016
π€£ππ
Samson Mahiga (Guest) on September 13, 2016
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Esther Nyambura (Guest) on September 6, 2016
π πππ
Juma (Guest) on August 30, 2016
Asante Ackyshine
Victor Kimario (Guest) on August 28, 2016
π€£π₯π
Frank Macha (Guest) on August 14, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Fikiri (Guest) on August 6, 2016
π Naihifadhi hii!
Daniel Obura (Guest) on August 4, 2016
ππ
Nancy Akumu (Guest) on July 3, 2016
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Hassan (Guest) on June 29, 2016
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Agnes Lowassa (Guest) on June 7, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Samuel Omondi (Guest) on June 3, 2016
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Faith Kariuki (Guest) on May 17, 2016
ππππ
Benjamin Masanja (Guest) on May 16, 2016
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2016
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Joseph Mallya (Guest) on April 21, 2016
π€£π€£ππ
John Mushi (Guest) on April 14, 2016
π Umeimaliza kabisa!
Joseph Kitine (Guest) on April 2, 2016
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Hellen Nduta (Guest) on March 5, 2016
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Lucy Wangui (Guest) on March 4, 2016
ππ π
Grace Njuguna (Guest) on February 18, 2016
ππ
Umi (Guest) on February 2, 2016
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Benjamin Masanja (Guest) on January 8, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
John Mushi (Guest) on January 4, 2016
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Charles Mboje (Guest) on December 23, 2015
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Alice Jebet (Guest) on December 23, 2015
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Rose Amukowa (Guest) on December 15, 2015
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Mwafirika (Guest) on November 22, 2015
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Monica Nyalandu (Guest) on September 28, 2015
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Henry Mollel (Guest) on September 23, 2015
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Diana Mallya (Guest) on August 24, 2015
Hii ni ya maana sana! ππ
Richard Mulwa (Guest) on August 22, 2015
π Kali sana!
Patrick Akech (Guest) on August 21, 2015
π Hii imenigonga kweli!
Rahma (Guest) on July 25, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Anna Mchome (Guest) on July 14, 2015
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Philip Nyaga (Guest) on July 10, 2015
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Edith Cherotich (Guest) on July 2, 2015
π Kali sana!
Hamida (Guest) on June 28, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Jane Muthui (Guest) on June 12, 2015
ππ€£π
Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Lydia Mzindakaya (Guest) on June 2, 2015
π Nitaiiba hii bila shaka!
Henry Sokoine (Guest) on May 23, 2015
ππ
Hellen Nduta (Guest) on May 9, 2015
π Hii ni dhahabu!
Rose Kiwanga (Guest) on April 28, 2015
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
George Mallya (Guest) on April 27, 2015
Hii imenibamba sana! π π€£
Rabia (Guest) on April 4, 2015
π Nilihitaji kicheko hicho!