1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…
2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.
4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:
WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake
WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform
WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi
WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!
WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja
5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"
6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!
7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"
8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?
9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"
10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."
Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆
Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017
Napenda jokes zenu! 😊😅
Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017
Hii imenifurahisha sana! 😊😅
Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016
😊😂🤣
John Malisa (Guest) on October 28, 2016
Mna talent ya jokes! 👏😂
Hawa (Guest) on October 7, 2016
😂 Nimeipenda kabisa hii!
Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016
😅😊😂👏
Zakia (Guest) on September 28, 2016
😆 Hiyo punchline!
Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016
😅 Nilihitaji hii!
George Tenga (Guest) on September 11, 2016
🤣 Ninaituma sasa hivi!
Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016
😊😂😅👏
Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍
Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016
🤣😆😊😂
Ali (Guest) on July 19, 2016
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016
😂🤣😊😅
Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016
👏🤣😆😂
Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016
😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂
Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂
Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016
Hii ni ya maana sana! 😂👌
Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016
😂🤣😆👏
Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Grace Njuguna (Guest) on March 5, 2016
🤣 Sikutarajia hiyo!
Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2016
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
Robert Okello (Guest) on January 18, 2016
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂
Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2016
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2016
😂😅
Khatib (Guest) on January 2, 2016
😂 Hii ni kali sana!
Masika (Guest) on January 2, 2016
😆 Nacheka hadi chini!
Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅
Elizabeth Malima (Guest) on December 9, 2015
Hii ni bomba sana! 🤣👍
Faith Kariuki (Guest) on October 29, 2015
Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂
Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2015
🤣 Hii imewaka moto!
Isaac Kiptoo (Guest) on October 24, 2015
😆😅😂
Mwanaidha (Guest) on October 16, 2015
😅 Bado nacheka!
Joseph Kitine (Guest) on September 11, 2015
Huyu alikuwa na point! 😂👌
Margaret Anyango (Guest) on August 31, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏
Anna Malela (Guest) on August 29, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
Fatuma (Guest) on August 23, 2015
😁 Kicheko bora ya siku!
Raphael Okoth (Guest) on August 22, 2015
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
Diana Mumbua (Guest) on August 1, 2015
Hii imenifurahisha sana! 🤣😊
Betty Cheruiyot (Guest) on July 30, 2015
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣
Frank Sokoine (Guest) on July 13, 2015
😄 Umeimaliza kabisa!
Issa (Guest) on June 12, 2015
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄
Nancy Komba (Guest) on June 12, 2015
😂👌
Michael Onyango (Guest) on June 10, 2015
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁
David Musyoka (Guest) on May 30, 2015
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏
Betty Akinyi (Guest) on May 30, 2015
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏
Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015
Hii imenikuna sana! 😆😅
Joseph Njoroge (Guest) on April 19, 2015
Hii ni kali sana! 😂🤣
David Ochieng (Guest) on April 15, 2015
Nimefurahia sana hii! 😅😊
Anna Sumari (Guest) on April 15, 2015
😆 Kali sana!
Elizabeth Malima (Guest) on April 7, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂