Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 258

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Jan 4, 2018
😁 Hii ni dhahabu!
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Dec 28, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Dec 18, 2017
Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Dec 9, 2017
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Dec 9, 2017
Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Oct 26, 2017
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Baridi Guest Oct 9, 2017
Asante Ackyshine
πŸ‘₯ Zulekha Guest Aug 1, 2017
πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Jul 26, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Jul 15, 2017
Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Zuhura Guest Jul 2, 2017
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
πŸ‘₯ James Malima Guest Jun 29, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Jun 23, 2017
Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Jun 17, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£
πŸ‘₯ Mjaka Guest Jun 6, 2017
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest May 31, 2017
Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest May 24, 2017
πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest May 23, 2017
Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Mariam Guest Apr 7, 2017
πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Mar 18, 2017
πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Mar 14, 2017
🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Mar 4, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Feb 15, 2017
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 10, 2017
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Jan 16, 2017
Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Jan 12, 2017
Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Nov 17, 2016
πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ John Malisa Guest Oct 28, 2016
Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Hawa Guest Oct 7, 2016
πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Sep 28, 2016
πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Zakia Guest Sep 28, 2016
πŸ˜† Hiyo punchline!
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Sep 25, 2016
πŸ˜… Nilihitaji hii!
πŸ‘₯ George Tenga Guest Sep 11, 2016
🀣 Ninaituma sasa hivi!
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Sep 6, 2016
πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Aug 23, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Aug 17, 2016
πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Jul 31, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Jul 31, 2016
πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Ali Guest Jul 19, 2016
πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Jul 12, 2016
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Jun 21, 2016
πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jun 20, 2016
πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Jun 2, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Jun 2, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Apr 9, 2016
Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Apr 9, 2016
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Mar 13, 2016
🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 5, 2016
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Feb 19, 2016
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jan 18, 2016
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Jan 7, 2016
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Jan 3, 2016
πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Khatib Guest Jan 2, 2016
πŸ˜‚ Hii ni kali sana!
πŸ‘₯ Masika Guest Jan 2, 2016
πŸ˜† Nacheka hadi chini!
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Dec 11, 2015
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Dec 9, 2015
Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Oct 29, 2015
Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Oct 29, 2015
🀣 Hii imewaka moto!
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Oct 24, 2015
πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mwanaidha Guest Oct 16, 2015
πŸ˜… Bado nacheka!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About