Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Akumu (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on September 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on August 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nahida (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on July 11, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on June 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on May 31, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on February 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on December 22, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

John Mwangi (Guest) on December 15, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 21, 2016

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on October 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 13, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shamsa (Guest) on September 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on September 5, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hellen Nduta (Guest) on July 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 15, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sultan (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Kawawa (Guest) on April 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Kiza (Guest) on April 6, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 4, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on January 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Latifa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alice Mrema (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Macha (Guest) on September 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on September 8, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 14, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kevin Maina (Guest) on August 4, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwanahawa (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zulekha (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Dorothy Nkya (Guest) on June 8, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3