Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.
6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
π₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπππ
π
π
π
π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kuna jamaa alifutwa kaziβ¦
Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ...
Read More
Looku Looku* ππ
*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hiiβ¦.!!*
...
Read More
1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mp...
Read More
Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj...
Read More
Angalia hivi
-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ...
Read More
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut...
Read More
Shikamoo kingereza..!
Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:
Saute...
Read More
Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!
Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa...
Read More
Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ...
Read More
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich...
Read More
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M...
Read More
Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika...
Read More
Kenneth Murithi (Guest) on October 4, 2017
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Nancy Akumu (Guest) on September 29, 2017
ππ
Victor Malima (Guest) on September 6, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Vincent Mwangangi (Guest) on August 24, 2017
π€£ππ
Francis Njeru (Guest) on August 11, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Nahida (Guest) on August 11, 2017
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
John Mwangi (Guest) on July 31, 2017
ππ€£
Peter Mbise (Guest) on July 11, 2017
Nimecheka hadi machozi π€£π
Rose Kiwanga (Guest) on June 26, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on June 19, 2017
πππ€£
Furaha (Guest) on June 10, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Mwinyi (Guest) on May 31, 2017
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Mwanaidha (Guest) on May 20, 2017
π Nalia kwa kweli hapa!
Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2017
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017
Nimefurahia sana hii joke! π π
Fikiri (Guest) on March 1, 2017
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Maimuna (Guest) on February 24, 2017
π Nilihitaji hii!
Patrick Kidata (Guest) on December 22, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
John Mwangi (Guest) on December 15, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Mary Kidata (Guest) on October 21, 2016
Asante Ackyshine
Lucy Kimotho (Guest) on October 14, 2016
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Josephine (Guest) on October 13, 2016
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Shamsa (Guest) on September 8, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Sharon Kibiru (Guest) on September 5, 2016
π€£π€£ππ
Nora Lowassa (Guest) on July 31, 2016
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Hellen Nduta (Guest) on July 22, 2016
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Simon Kiprono (Guest) on June 15, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
John Kamande (Guest) on June 6, 2016
Hii imenibamba sana! π π€£
Sultan (Guest) on April 30, 2016
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Nancy Kawawa (Guest) on April 22, 2016
π πππ
James Kawawa (Guest) on April 14, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2016
ππ€£π
Kiza (Guest) on April 6, 2016
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Esther Cheruiyot (Guest) on April 4, 2016
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Daniel Obura (Guest) on March 29, 2016
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Victor Malima (Guest) on March 27, 2016
ππ€£ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2016
ππ€£ππ
Stephen Amollo (Guest) on February 3, 2016
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Josephine Nekesa (Guest) on January 20, 2016
Nimefurahia sana hii! π π
Latifa (Guest) on January 14, 2016
π Ninakufa hapa!
Alice Mrema (Guest) on October 9, 2015
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
David Kawawa (Guest) on October 5, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Frank Macha (Guest) on September 13, 2015
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2015
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Josephine (Guest) on September 8, 2015
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Joy Wacera (Guest) on August 22, 2015
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Samson Tibaijuka (Guest) on August 14, 2015
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Kevin Maina (Guest) on August 4, 2015
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Mwanahawa (Guest) on June 21, 2015
π Ninaihifadhi hii!
Zulekha (Guest) on June 13, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Dorothy Nkya (Guest) on June 8, 2015
ππ€£ππ
Patrick Kidata (Guest) on May 30, 2015
πππ
Ruth Wanjiku (Guest) on May 22, 2015
ππ π
Andrew Mchome (Guest) on May 2, 2015
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Simon Kiprono (Guest) on April 2, 2015
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£