Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elijah Mutua (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 8, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on November 2, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Aoko (Guest) on October 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on October 5, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Mwikali (Guest) on September 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Mrema (Guest) on July 16, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nyota (Guest) on July 7, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Omari (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on June 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Majaliwa (Guest) on May 15, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Sumari (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rehema (Guest) on December 29, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Tabu (Guest) on December 9, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 10, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on August 28, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on August 12, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on July 21, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 6, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 29, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Mbithe (Guest) on June 6, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on June 5, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Paul Ndomba (Guest) on May 17, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on April 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 13, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yahya (Guest) on January 2, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Zulekha (Guest) on December 15, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sarah Karani (Guest) on December 7, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on November 24, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on November 20, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ramadhan (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Mligo (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on October 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rahim (Guest) on August 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthoni (Guest) on August 22, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 26, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More