Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiyaβ¦sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!
MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"
MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"
"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisaβ¦.papai jamani"
KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"
"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!β¦Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"
RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"
Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"
Kimyaaaβ¦
Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!β¦β¦..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"
WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"
MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!β¦.ofa nyingineeee!"
Kimyaaaβ¦
Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!β¦ofa nyinginee!
Kimyaaaβ¦.
Kimyaaaβ¦.
πππβ¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balanceβ¦sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπ(mama wee Mosha anachezea Simu!)β¦..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)β¦..mama weeeπ
MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!
Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maitiβ¦.kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John Cenaπβ¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimiβ¦.Chicken wings zinataka kutokea Masikioniβ¦..Uuuuwiiiii,πππ
Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na Tomatoπππππ.
chiel wie okee
Alex Nakitare (Guest) on January 3, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Mary Sokoine (Guest) on December 5, 2016
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Henry Mollel (Guest) on November 29, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Mwachumu (Guest) on November 14, 2016
π Kichekesho gani!
Irene Makena (Guest) on November 11, 2016
π Kali sana!
David Sokoine (Guest) on October 15, 2016
Hii ni ya maana sana! ππ
Frank Sokoine (Guest) on October 13, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Moses Kipkemboi (Guest) on September 17, 2016
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016
π€£πππ
Abdillah (Guest) on August 21, 2016
π Bado nacheka!
Nassar (Guest) on August 10, 2016
π€£ Sikutarajia hiyo!
Ann Wambui (Guest) on July 18, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Joy Wacera (Guest) on July 9, 2016
Nimefurahia sana hii joke! π π
Irene Makena (Guest) on July 7, 2016
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on June 29, 2016
Nimefurahia hii sana! ππ
Mariam Hassan (Guest) on May 23, 2016
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Amani (Guest) on May 13, 2016
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Dorothy Nkya (Guest) on May 4, 2016
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Isaac Kiptoo (Guest) on April 25, 2016
ππ
Peter Otieno (Guest) on April 14, 2016
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Charles Mchome (Guest) on March 31, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Baraka (Guest) on March 23, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Anna Kibwana (Guest) on March 14, 2016
π Ninacheka sana sasa hivi!
Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2016
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Mariam Hassan (Guest) on January 18, 2016
ππ
Majid (Guest) on January 2, 2016
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Monica Nyalandu (Guest) on January 2, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Rose Lowassa (Guest) on December 26, 2015
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Francis Mrope (Guest) on December 19, 2015
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Ahmed (Guest) on November 18, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Umi (Guest) on November 12, 2015
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Shamsa (Guest) on November 7, 2015
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Kenneth Murithi (Guest) on October 7, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2015
πππ
Jacob Kiplangat (Guest) on September 19, 2015
π Nimeipenda kabisa hii!
Amir (Guest) on September 15, 2015
π Umenishika vizuri!
Kenneth Murithi (Guest) on September 15, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Edward Lowassa (Guest) on September 14, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Janet Sumari (Guest) on August 24, 2015
ππ€£ππ
Bakari (Guest) on August 20, 2015
π Hii ni kali sana!
Zubeida (Guest) on August 13, 2015
π Siwezi kuacha kucheka!
Elijah Mutua (Guest) on August 12, 2015
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Robert Okello (Guest) on July 16, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Sarah Karani (Guest) on July 13, 2015
Hii imenikuna sana! ππ
Janet Sumari (Guest) on July 11, 2015
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2015
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Alice Mrema (Guest) on June 26, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Maneno (Guest) on June 7, 2015
π Bado nacheka!
Ruth Wanjiku (Guest) on May 30, 2015
π ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2015
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Kassim (Guest) on May 11, 2015
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Shamim (Guest) on April 11, 2015
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Joyce Nkya (Guest) on April 8, 2015
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π