Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!" Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti." Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!" Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kiwanga (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on June 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nyota (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on May 3, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 14, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Mbise (Guest) on April 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on January 26, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Alice Mwikali (Guest) on December 29, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on December 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on December 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Martin Otieno (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 19, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mchuma (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Nyalandu (Guest) on September 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Henry Mollel (Guest) on August 10, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Mushi (Guest) on May 21, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on May 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Stephen Amollo (Guest) on May 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on April 26, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Lissu (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Betty Kimaro (Guest) on February 22, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Njeri (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on August 6, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 27, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on April 23, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kimani (Guest) on April 22, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 20, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on April 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About