
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Salima (Guest) on February 12, 2017
π Umeimaliza kabisa!
Edward Chepkoech (Guest) on February 5, 2017
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Victor Malima (Guest) on January 8, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Nyota (Guest) on December 26, 2016
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Michael Mboya (Guest) on December 7, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2016
π Siwezi kuacha kucheka!
Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2016
π€£π€£ππ
Anna Sumari (Guest) on November 16, 2016
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Raphael Okoth (Guest) on November 13, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Charles Mrope (Guest) on September 30, 2016
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Raphael Okoth (Guest) on September 26, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Hashim (Guest) on September 14, 2016
π Hii ni kali sana!
Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2016
ππ
Tabitha Okumu (Guest) on August 24, 2016
π πππ
Khadija (Guest) on July 29, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Charles Mchome (Guest) on July 4, 2016
π€£π€£ππ
Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Ruth Wanjiku (Guest) on April 29, 2016
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Francis Njeru (Guest) on April 24, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Nancy Kabura (Guest) on April 13, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
John Lissu (Guest) on April 12, 2016
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Francis Njeru (Guest) on April 3, 2016
πππ€£
Linda Karimi (Guest) on April 1, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
David Kawawa (Guest) on March 25, 2016
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2016
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on March 14, 2016
π€£ Kichekesho bora kabisa!
David Sokoine (Guest) on March 10, 2016
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Charles Mrope (Guest) on March 2, 2016
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Benjamin Kibicho (Guest) on February 8, 2016
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Ruth Kibona (Guest) on January 17, 2016
π€£π₯π
Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2015
Nimefurahia sana hii joke! π π
Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Kiza (Guest) on December 21, 2015
π€£ Sikutarajia hiyo!
Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Victor Mwalimu (Guest) on December 5, 2015
π Kichekesho kamili!
Mgeni (Guest) on November 14, 2015
π Hii ni dhahabu!
Mjaka (Guest) on October 24, 2015
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
David Kawawa (Guest) on October 1, 2015
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Tambwe (Guest) on September 24, 2015
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Alice Mwikali (Guest) on September 23, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
David Nyerere (Guest) on September 6, 2015
π Umenishika vizuri!
Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2015
Hii imenikuna! ππ
Linda Karimi (Guest) on August 12, 2015
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Lydia Wanyama (Guest) on July 27, 2015
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2015
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Frank Macha (Guest) on July 3, 2015
ππ
Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2015
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Joyce Mussa (Guest) on June 14, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Nancy Akumu (Guest) on May 17, 2015
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Brian Karanja (Guest) on May 6, 2015
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
David Sokoine (Guest) on May 4, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Victor Malima (Guest) on April 5, 2015
π Naihifadhi hii!