Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarafina (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amir (Guest) on September 15, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Benjamin Masanja (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 28, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on June 25, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salma (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ann Awino (Guest) on June 13, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 25, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on March 26, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on February 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mashaka (Guest) on February 4, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Chiku (Guest) on October 9, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on October 8, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Robert Okello (Guest) on October 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Kawawa (Guest) on September 7, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Henry Mollel (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Yusuf (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sekela (Guest) on March 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on March 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on January 10, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Khamis (Guest) on October 17, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 10, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

John Kamande (Guest) on September 30, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on September 16, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on September 11, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 4, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on August 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on July 31, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 27, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Sumari (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Jebet (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 2, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 16, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on April 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact