Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.
2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja⦠wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.
4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.
5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.
6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!
7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.
8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!
Wachaga mnisamehe!
ππππββ
Sarafina (Guest) on October 13, 2017
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Amir (Guest) on September 15, 2017
π Kicheko bora ya siku!
Benjamin Masanja (Guest) on August 14, 2017
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2017
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Richard Mulwa (Guest) on July 28, 2017
Nimefurahia sana hii! π π
Nancy Komba (Guest) on July 6, 2017
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2017
π Naihifadhi hii!
Samuel Were (Guest) on June 25, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Salma (Guest) on June 20, 2017
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Ann Awino (Guest) on June 13, 2017
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Mwanaidha (Guest) on May 25, 2017
π€£ Hii imewaka moto!
Peter Tibaijuka (Guest) on March 29, 2017
Nimefurahia hii sana! ππ
Peter Otieno (Guest) on March 26, 2017
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Victor Mwalimu (Guest) on March 19, 2017
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Agnes Njeri (Guest) on February 20, 2017
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
David Kawawa (Guest) on February 10, 2017
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Mashaka (Guest) on February 4, 2017
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Chiku (Guest) on October 9, 2016
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Janet Mbithe (Guest) on October 8, 2016
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Robert Okello (Guest) on October 4, 2016
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2016
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Emily Chepngeno (Guest) on September 12, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Mariam Kawawa (Guest) on September 7, 2016
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Henry Mollel (Guest) on August 31, 2016
ππ ππ
Martin Otieno (Guest) on August 30, 2016
Hii imenichekesha sana! π€£π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2016
ππ
Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2016
Nimefurahia sana hii joke! π π
Yusuf (Guest) on July 10, 2016
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Yusuf (Guest) on April 17, 2016
π Ninacheka sana sasa hivi!
Sekela (Guest) on March 22, 2016
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Nicholas Wanjohi (Guest) on March 18, 2016
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Betty Akinyi (Guest) on March 15, 2016
Hii imenibamba sana! ππ
Wilson Ombati (Guest) on March 4, 2016
ππ€£ππ
Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2016
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Fatuma (Guest) on February 7, 2016
π Siwezi kuacha kucheka!
Rose Kiwanga (Guest) on February 4, 2016
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Frank Sokoine (Guest) on January 29, 2016
π Kali sana!
Lydia Mahiga (Guest) on January 10, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Victor Mwalimu (Guest) on November 1, 2015
ππ
Khamis (Guest) on October 17, 2015
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Josephine Nekesa (Guest) on October 10, 2015
π€£π€£ππ
John Kamande (Guest) on September 30, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Benjamin Masanja (Guest) on September 16, 2015
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
David Musyoka (Guest) on September 11, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Joseph Mallya (Guest) on September 4, 2015
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Joyce Mussa (Guest) on August 29, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Nasra (Guest) on July 31, 2015
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Stephen Amollo (Guest) on July 27, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
George Tenga (Guest) on July 15, 2015
π Bado nacheka!
Janet Sumari (Guest) on July 7, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Alice Jebet (Guest) on May 17, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Victor Kamau (Guest) on May 17, 2015
ππ€£ππ
James Mduma (Guest) on May 2, 2015
Umetisha! ππ
Joyce Nkya (Guest) on April 24, 2015
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Rose Amukowa (Guest) on April 16, 2015
π πππ
George Mallya (Guest) on April 10, 2015
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£