Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Kawawa (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on September 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Habiba (Guest) on September 2, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Hawa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on June 28, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 20, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on May 18, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khalifa (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shukuru (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 2, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 10, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on May 10, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shukuru (Guest) on April 20, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on March 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Kangethe (Guest) on March 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on January 24, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 16, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mrema (Guest) on October 16, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 5, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on September 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on August 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 28, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on July 24, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a053bd4fb4486baf77a24f3608fc07e2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3