Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Makena (Guest) on July 15, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on June 25, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 9, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chiku (Guest) on May 30, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Salma (Guest) on April 21, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 16, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Warda (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Monica Lissu (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on January 15, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on January 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

David Musyoka (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rashid (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on November 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on September 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on August 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Henry Mollel (Guest) on July 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on July 22, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on June 22, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shani (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nora Kidata (Guest) on May 4, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on April 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on April 7, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on April 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zainab (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on March 26, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on March 24, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Grace Majaliwa (Guest) on February 10, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on December 19, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 6, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salum (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Muthoni (Guest) on October 6, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on September 20, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on September 1, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on August 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on July 31, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on July 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on April 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More