Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nassar (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sekela (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Victor Mwalimu (Guest) on January 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Mallya (Guest) on November 28, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 3, 2023

😊🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on August 15, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 15, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kamau (Guest) on March 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Michael Mboya (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mboje (Guest) on January 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on August 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on July 19, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Fatuma (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Selemani (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Nyerere (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on May 6, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on April 2, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on March 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 9, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on February 27, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b6d54826b7ee6e4f1003ecf89d5b32db, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact