Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2c4208fe4b6b79fd7c926d23458bdbf7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e48c45b3559555bed8c9e160df1490fe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0a191fa9486d77c0a8040041cab10031, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e7145dddabfdf0f543d624a389675ed, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

Featured Image

Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika maisha nia ya Mungu inabaki kuwa njema ya Kukuonyesha ukuu wake na kukuwezesha kumjua yeye. Pengine usingejua matendo ya Mungu bila kupitia shida na changamoto katika maisha. Mungu hapendi upate shida bali anaruhusu hayo ili upate faida ya kumjua na kujua uwezo wake. Hata Yesu ilibidi apitie mateso na kifo ili uwezo wa Mungu udhihirike baada ya kufufuliwa. Amini kuwa kuna mema mbele yako baada ya mateso haya ya sasa.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fb01ad443fbda85f459f745b2dd0bbd1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Njeri (Guest) on December 23, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Makena (Guest) on October 13, 2023

Dumu katika Bwana.

Joseph Kiwanga (Guest) on October 7, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 27, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Rose Lowassa (Guest) on July 29, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Sarah Achieng (Guest) on May 14, 2023

Rehema zake hudumu milele

David Ochieng (Guest) on May 14, 2023

Endelea kuwa na imani!

Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Irene Akoth (Guest) on November 22, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Diana Mumbua (Guest) on September 12, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Emily Chepngeno (Guest) on May 23, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Mrope (Guest) on April 15, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on April 6, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Victor Malima (Guest) on March 25, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Grace Mushi (Guest) on December 4, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Esther Cheruiyot (Guest) on October 4, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

James Malima (Guest) on July 18, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Brian Karanja (Guest) on July 7, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mchome (Guest) on June 7, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Joseph Kitine (Guest) on April 17, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jacob Kiplangat (Guest) on November 16, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Grace Mligo (Guest) on September 11, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

David Sokoine (Guest) on June 17, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lydia Wanyama (Guest) on June 2, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Wilson Ombati (Guest) on May 5, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Ruth Mtangi (Guest) on February 29, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Samuel Omondi (Guest) on December 13, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Grace Njuguna (Guest) on July 20, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

John Malisa (Guest) on February 3, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Susan Wangari (Guest) on December 10, 2018

Nakuombea 🙏

Ann Wambui (Guest) on October 13, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mugendi (Guest) on June 29, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ann Wambui (Guest) on March 27, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Rose Kiwanga (Guest) on March 5, 2018

Rehema hushinda hukumu

Edward Lowassa (Guest) on February 20, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Victor Sokoine (Guest) on November 30, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Agnes Lowassa (Guest) on August 27, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Ruth Kibona (Guest) on July 21, 2017

Sifa kwa Bwana!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 20, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Carol Nyakio (Guest) on March 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Ruth Wanjiku (Guest) on November 21, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 9, 2016

Mungu akubariki!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

John Lissu (Guest) on August 23, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Sokoine (Guest) on April 6, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

Upendo na ubinafsi

Upendo na ubinafsi

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Sala sio maneno tuu

Sala sio maneno tuu

Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunui... Read More

Sala inayojibiwa

Sala inayojibiwa

Hakuna sala yeyote itolewayo kwa unyenyekevu wa kweli katika imani, matumaini na mapendo inayopit... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Upendo wa KiMungu

Upendo wa KiMungu

Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako k... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako

Mungu yupo kwa ajili yako

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More
Siri ya Imani kwa Mungu

Siri ya Imani kwa Mungu

Mungu daima ni Mwaminifu na mwenye Huruma. Kinachotakiwa ni kuamini kwamba kipo na kitakuwepo. Ku... Read More

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Sala ni Hazina

Sala ni Hazina

Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijay... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d2ff5e341c53448105d4a6c5adf77ecb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact