Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6d1cad7e9c4a8b2a16165196cf0c18dd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Madhara ya soda
Date: June 14, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya.
Aina nyingi za soda zina kafeini ambayo huzuia usharabu (ufyonzwaji) wa madini ya chuma mwilini hasa yatokanayo na vyakula vya mimea Hata hivyo soda zinaweza kutumika kwa kiasi kidogo kama kiburudisho, ila tunapotaka ubora zaidi wa afya zetu inafaa kupunguza matumizi ya soda na badala yake kutumia vinywaji vyenye virutubishi muhimu kama vile maji ya matunda, maziwa, madafu au asusa kama vile matunda, karanga na aina mbalimbali za mboga mfano karoti.
Hii inasaidia pia kutumia fedha kidogo tuliyo nayo kwa vyakula muhimu, hasa ukizingatia badala ya soda moja unaweza kupata mayai matatu au nusu lita hadi lita moja ya maziwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6d1cad7e9c4a8b2a16165196cf0c18dd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya ...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 3 mug za chai
Samli - Β½ mug ya chai
Maziwa - 1ΒΌ mug ya ...
Read More
Kuandaa Chakula kwa Kupunguza Uzito: Vidokezo na Mapishi π½οΈπͺ
Kupunguza uzito ni le...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga 300gm
Siagi 225gm
Icing Sugar 60gm
Chokoleti iliyokoz...
Read More
MAHITAJI
Maji baridi β kikombe 1
Biskuti za kawaida β paketi 2
Kaukau (co...
Read More
Mahitaji
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyama (beef 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
K...
Read More
Mahitaji
Kupata takriban gilasi 6
Mabungo - 3
Maji - 6 au 7 Gi...
Read More
Leo wapendwa nitaenda kuzungumzia mapishi ya mchuzi wa kuku (chicken curry).
Mahitaji
...
Read More
VIAMBAUPISHI
Philo (thin pastry) manda nyembamba - 1 paketi
Siagi - ΒΌ Kikombe cha ...
Read More
Mahitaji ya wali
Mchele - 3 vikombe
Vitunguu (viliokatwa vidogo vidogo) - 2
M...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 4 Vikombe
Sukari - 1 Kikombe
Baking powder 1 kijiko cha c...
Read More
Viamba upishi
Mboga za majani makavu ΒΌ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zi...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!