Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02caa986015e4360ffb54951f034d5ea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika Biskuti Za Tende
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viamba upishi
Unga 4 Vikombe vya chai
Sukari ya laini (icing sugar) 1 Kikombe cha chai
Baking powder 2 Vijiko vya chai
Mayai 2
Siagi au margarine 1 Kikombe cha chai
Vanilla 1 Kijiko cha chai
Maziwa ya kuchanganyia kiasi
Tende iliyotolewa koko 1 Kikombe
ufuta (sasame) kiasi 1/4 kikombe
Jinsi ya kuandaa na kupika
1. Changanya unga, siagi, baking powder, na sukari katika mashine.
2. Kisha tia mayai, vanilla na halafu maziwa kidogo kidogo hadi mchanganyiko ushikamane.
3. Gawanya madonge mawili na usukume kama chapati, lakini sio nyembamba sana.
4. Tandaza tende robo ya duara na unyunyize ufuta duara zima: kisha kunja hadi mwisho na ukate kate, kisha upange katika trei ya kuvumbika.
5. Vumbika (bake) moto wa 350°F kwa muda wa dakika 20 au hadi vigeuke rangi na viwive.
6. Zikisha iiva ziache zipowe na zitakuwa tayari kuliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9033b0f4731b88ce8895b88e05a7865f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya.
Aina nyingi za soda zina kafeini ambay...
Read More
Kuna nyama za aina mbili, nazo ni nyama nyeupe na nyama nyekundu.
Nyama nyeupe
Hi...
Read More
Mahitaji
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 ki...
Read More
Mahitaji
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (...
Read More
Mahitaji
Ndizi - 15 takriiban
Nayma ya ng’ombe - 1 kilo
Kitunguu maji - 1Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijik...
Read More
Mahitaji
Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji ...
Read More
MAHITAJI
Mayai 5
Sukari 450gm (1 lb)
Unga wa Ngano 1 kg
Siagi 450gm (...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Viwili
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
Mawazo Rahisi na yenye Afya ya Kujiandaa kwa Chakula cha Kazi
Kwa mara nyingine tena, hapa...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga vikombe 2
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
MAHITAJI
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi - 4 Vijiko vya supu
Maziwa ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!