Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8a7adbba4fe50bc58dddee53bd19ce1b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Mapishi ya Wali, mchicha wa nazi na nyama ya kukaanga
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Mchele (rice 1/2 kilo)
Mchicha uliokatwakatwa (spinach mafungu 2)
Nyama (beef 1/2 ya kilo)
Nyanya (tin tomato 1/2 ya tin)
Nyanya chungu ( garden egg 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 3)
Tangawizi (ginger)
Curry powder
Vitunguu (onion 2)
Limao (lemon 1)
Chumvi
Pilipili (scotch bonnet pepper )
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai)
Matayarisho
Kaanga kitunguu kikishaiva tia nyanya na chumvi. kaanga mpaka nyanya ziive kisha tia nyanya chungu,curry powder na pilipili 1 nzima, baada ya hapo tia mchicha na uuchanganye vizuri kwa kuugeuzageuza. Mchicha ukishanywea tia tui la nazi na uache lichemke mpaka liive na hapo mchicha utakuwa tayari.
Safisha nyama kisha iweke kwenye sufuria na utie chumvi, tangawizi, limao na kitunguu swaum. Ichemshe mpaka itakapoiva na kuwa laini. Baada ya hapo weka sufuria jikoni na mafuta kidogo yakisha pata moto tia vitunguu na nyama na uvikaange pamoja, kisha tia curry powder na ukaange mpaka nyama na viunguu vya brown. na hapo nyama itakuwa imeiva. Malizia kwa kupika wali kwa kuchemsha maji kisha tia mafuta, chumvi na mchele na upike mpaka uive. Baada ya hapo chakula kitakuwa tayari kwa kuseviwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8a7adbba4fe50bc58dddee53bd19ce1b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vipimo Vya Ugali:
Unga wa mahindi/sembe - 4
Maji - 6 takriban
Mahitaji
Mchele - 2 vikombe
Adesi -1 ½ vikombe
Nazi ya unga - 1 Kikombe
<...
Read More
Mahitaji
Mbatata / viazi - 2 kilo
Nyama ng’ombe - ½ kilo
Kitunguu maji - 2...
Read More
Viambaupishi
Vipimo vya Wali:
Mchele 3 vikombe
*Maji ya kupikia 5 vikombe
...
Read More
Mahitaji
Viazi - 3lb
Nyama - 1lb
Kitunguu - 1
Nyanya - 2
Kitunguu...
Read More
Vipimo
Mchele basmati, pishori - 3 vikombe
Vitunguu katakata - 2
Nyanya/tungu...
Read More
Viambaupishi
Siagi 100gm
Unga wa kaukau (cocoa powder) 2 Vijiko vya supu
Mazi...
Read More
Upishi wa vyakula vya virutubishi kama vile karanga na mbegu ni muhimu sana kwa afya yetu. Kwa ba...
Read More
Mahitaji
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumv...
Read More
• Kula chakula bora kunamaanisha kula vyakula aina tofauti ya vyakula kila siku kama vile matun...
Read More
Mahitaji
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu m...
Read More
Mahitaji ya wali
Mchele - 3 vikombe
Vitunguu (viliokatwa vidogo vidogo) - 2
M...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!