Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_92537fc015c03e2f458979ab93e5ede6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika Eggchop
Date: December 2, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Mayai yaliochemshwa 4
Nyama ya kusaga robo kilo
Kitunguu swaum
Tangawizi
Limao
Chumvi
Pilipili
Breadcrambs
Carry powder
Binzari nyembamba ya unga
Yai moja bichi
Mafuta
Matayarisho
Marinate nyama na pilipili, kitunguu swaum, tangawizi, limao, chumvi, carry powder, binzari nyembamba na breadcrambs pamoja. Kisha vunja yai moja bichi kwenye kibakuli na ulikoroge kisha tia kwenye mchanganyiko wa nyama.Gawanisha matonge manne kwa ajili ya kuzungushia kwenye mayai .Chemsha mayai kwa muda wa dakika 20. Yakisha iva acha yapoe na kisha yamenye maganda na uyaweke pembeni. Baada ya hapo chukua yai moja lililochemshwa na ulizungushie donge moja la mchanganyiko wa nyama. fanya hivyo kwa mayai yote yaliobakia. Baada ya hapo paka mafuta kwa nje ya hizo eggchop na kisha paka mafuta kwenye sinia la kuokea na uziokee kwenye oven kwa moto wa kawaida, kwa muda wa dakika 20.Na eggchop zako zitakuwa tayari kwa kuliwa
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_92537fc015c03e2f458979ab93e5ede6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Samaki mbichi (1)
Viazi mbatata (3)
Nyanya (1)
Kitunguu maji
Read More
Mahitaji
Unga wa mchele ( Vikombe 2 vikubwa)
Sukari (Nusu ya kikombe kikubwa)
H...
Read More
Viamba upishi
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikom...
Read More
Mahitaji
Maini (Cow liver) 1/4 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2
Nyanya (chopped ...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 3 mug za chai
Samli - Β½ mug ya chai
Maziwa - 1ΒΌ mug ya ...
Read More
Virutubishi
ni viini vilivyoko kwenye chakula ambavyo vinauwezesha mwili kufanya kazi zak...
Read More
Mahitaji
Tango 1/2
Kitunguu 1/2
Cherry tomato 8
Lettice kiasi
Green o...
Read More
Mahitaji
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)Read More
Mahitaji
Ndizi mbichi 6
Nyama ya ng'ombe (nusu kilo)
Viazi mviringo 2
Kitu...
Read More
MAHITAJI
Unga vikombe vikombe 4
Baking soda 1 kijiko cha chai mfuto
Siagi 400...
Read More
Mahitaji
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate ...
Read More
Mahitaji
Daal (lentils) nyekundu au/na kijani - 1 Kikombe kikubwa
Bizari ya manjano...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!