Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino.

Jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!