Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama βutaishia pabayaβ. βKuishia pabayaβ ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi.

Je, kuna madhara yoyote pale utakapojaribu kutumia dawa za kulevya mara moja tu au utakapotumia kwa kiasi kidogo sana?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako?
Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako? Hii ni mada ambayo i... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?
Habari yako rafiki yangu? Leo nataka kuzungumzia suala ambalo limekuwa likiwasumbua wengi kwa mud... Read More

Dalili za kwanza za msichana au mwanamke kuwa na mimba ni zipi?

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana
Mara nyingi, wanaume wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwa na uhusiano mzuri na msichana. Inawezeka... Read More

Je, ni muhimu kuwa mwaminifu kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako?
Je, ni muhimu kuwa mwaminifu kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako? Jibu... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? π
Asante kwa ku... Read More

Je, umri unaathiri ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Je, umri unaathiri ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Hakuna jibu moja sahihi kwa swal... Read More

Je, ni tabia zipi zinazochangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI?
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ... Read More

Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya ...
Read More

Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?

Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?
Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu ha... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!