Abebwaye hujikaza: huwakumbusha watu wajibu wa kufanya juhudi za kujisaidia wenyewe pale wanapopewa msaada wa awali. Ikiwa utasaidiwa basi abgalau onesha juhudi za kujiweza pindi msaada utakapofika mwisho
Abebwaye, hujikaza
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
