Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on May 29, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Wairimu (Guest) on March 22, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Jane Malecela (Guest) on February 26, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Edwin Ndambuki (Guest) on September 29, 2023

Rehema zake hudumu milele

Stephen Kikwete (Guest) on August 5, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Njuguna (Guest) on April 21, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Hellen Nduta (Guest) on February 11, 2023

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Jackson Makori (Guest) on January 22, 2023

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Paul Kamau (Guest) on October 19, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Bernard Oduor (Guest) on October 6, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mary Njeri (Guest) on July 15, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Nkya (Guest) on June 21, 2022

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Elizabeth Mtei (Guest) on March 6, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Catherine Naliaka (Guest) on January 8, 2022

🙏🙏🙏

Ruth Mtangi (Guest) on November 6, 2021

🙏🌟 Mungu alete amani

James Kimani (Guest) on October 29, 2021

🙏❤️ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on October 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Kimaro (Guest) on August 27, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Christopher Oloo (Guest) on July 11, 2021

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 18, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Mallya (Guest) on March 18, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Nancy Komba (Guest) on March 8, 2021

Sifa kwa Bwana!

Diana Mallya (Guest) on March 3, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Waithera (Guest) on February 7, 2021

Mungu akubariki!

George Wanjala (Guest) on November 19, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Chacha (Guest) on November 12, 2020

🙏🌟 Mbarikiwe sana

George Mallya (Guest) on October 16, 2020

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Stephen Mushi (Guest) on September 18, 2020

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Anna Malela (Guest) on August 22, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Anthony Kariuki (Guest) on June 3, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Fredrick Mutiso (Guest) on March 18, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Andrew Mchome (Guest) on February 25, 2020

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on January 7, 2020

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Jane Muthui (Guest) on January 5, 2020

Dumu katika Bwana.

Jackson Makori (Guest) on December 28, 2019

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Elizabeth Mrema (Guest) on December 8, 2019

🙏💖 Nakusihi Mungu

John Lissu (Guest) on November 30, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Mbise (Guest) on August 5, 2019

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

David Chacha (Guest) on July 4, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Andrew Odhiambo (Guest) on July 2, 2019

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Lydia Mutheu (Guest) on June 16, 2019

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Betty Cheruiyot (Guest) on May 18, 2019

🙏✨ Mungu atakuinua

Edith Cherotich (Guest) on April 18, 2019

Mwamini katika mpango wake.

James Kimani (Guest) on February 27, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Miriam Mchome (Guest) on January 22, 2019

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Alex Nakitare (Guest) on January 7, 2019

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Mercy Atieno (Guest) on November 24, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2018

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

🙏🙏🙏

Samson Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Nakuombea 🙏

Frank Sokoine (Guest) on July 27, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samson Mahiga (Guest) on July 2, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2018

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Alice Jebet (Guest) on January 19, 2018

Amina

Patrick Kidata (Guest) on October 4, 2017

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Akech (Guest) on September 24, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Victor Sokoine (Guest) on July 28, 2017

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact