Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye siku zote hutupatia malezi bora kwa ajili ya wokovu wetu. Kanisa halichoki kutuhimiza tutafakari na kuishi utakatifu wa familia ya Nazareti ya Yesu, Maria na Yosefu. Familia hii iliishi upendo uliojengwa kwa fadhila za imani, uaminifu, utii, uvumilivu na upole hata wakawa watakatifu. Tunapoadhimisha mwaka wa Familia, tunaiweka mbele yetu familia ya Nazareti iwe dira, baraka na mfano kwa familia zetu.
Tunakushukuru Baba kwa ajili ya familia zote zinazojitahidi kuishi fadhila hizo za Familia takatifu na tunakuomba uzidi kuwaimarisha wanandoa ili tupate kwao mifano mingi na bora ya kuigwa. Ee Bwana, tunaomba Roho Mtakatifu atuangazie tuweze: kutambua familia kuwa Kanisa la nyumbani na shule ya imani na upendo; kuimarisha familia kwa sala, sakramenti na tunu za kiinjili na kushirikiana kwa heshima katika familia kwa usitawi wa roho na wa mwili kwa wanafamilia wote.
Tunaziombea familia zetu na Jumuiya Ndogondogo za Kikristo ziwe bustani bora na salama za kuchipusha na kulea miito mitakatifu ya Ndoa, Utawa na Upadre. Tunawaombea vijana na watoto wetu Uchaji wa Mungu ili wawe na bidii ya kujitunza kwa kushika amri za Mungu na kuishi fadhila za kiinjili, wawe na roho ya kimisionari yaani walipende Kanisa na kuwa na moyo wa kueneza ufalme wako kwa matendo ya imani. Baba wa huruma, tunakukabidhi familia zenye misukosuko ya mafarakano, ulevi, ubinafsi, uregevu-dini, uvivu, ushirikina, hofu, magonjwa sugu na mengineyo yenye kuleta huzuni; kwa hisani yako uwape neema, mwanga na nguvu za kuanza maisha mapya yenye amani, waweze kufurahia upatanisho na uponyi wa pendo lako la kibaba kati yao.
Tunaomba toba na msamaha kwa ukatili, manyanyaso na hata mauaji katika familia zetu na uwaponye wote waliojeruhiwa kwa maneno, matendo na makwazo ya aina yeyote. Aidha tunakuomba uwe kitulizo na faraja kwa wagonjwa na wazee, pia tegemeo la yatima na wajane. Wenye matatizo ya kiafya au ya kijamii wasikate tamaa bali waunganishe hali zao na msalaba wa Mwanao na kukutumaini wewe Mweza yote. Jamii iwajibike nao kwa kuzijali haki zao na kuwapa misaada wanayohitaji.
Tunakuomba ubariki miradi na kazi zetu ili familia zipate usitawi na maendeleo; na utujalie hekima ya kukushukuru kwa maisha ya haki, amani na ukarimu na mwisho tukaimbe sifa zako pamoja na familia Takatifu ya Yesu, Maria na Yosefuna jeshi lote la mbinguni. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu. Amina.
Baba yetuβ¦ β¦..Salamu Mariaβ¦.β¦Atukuzwe Babaβ¦β¦β¦
Edward Chepkoech (Guest) on July 14, 2024
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Mary Mrope (Guest) on April 30, 2024
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Mary Kendi (Guest) on March 13, 2024
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Carol Nyakio (Guest) on January 14, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2023
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Mariam Kawawa (Guest) on September 17, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Victor Sokoine (Guest) on September 14, 2023
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Stephen Mushi (Guest) on August 31, 2023
Dumu katika Bwana.
Mariam Kawawa (Guest) on July 1, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Margaret Mahiga (Guest) on June 19, 2023
Nakuombea π
Anna Mchome (Guest) on May 25, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
Miriam Mchome (Guest) on April 24, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mary Njeri (Guest) on March 12, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
David Nyerere (Guest) on November 27, 2022
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2022
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Francis Mtangi (Guest) on October 6, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
George Mallya (Guest) on May 12, 2022
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Anna Sumari (Guest) on April 17, 2022
Endelea kuwa na imani!
Carol Nyakio (Guest) on March 15, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Stephen Mushi (Guest) on February 1, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Irene Akoth (Guest) on December 22, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Mercy Atieno (Guest) on December 10, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Ruth Kibona (Guest) on November 7, 2021
Mungu akubariki!
Dorothy Majaliwa (Guest) on November 6, 2021
Neema na amani iwe nawe.
Nancy Kawawa (Guest) on August 27, 2021
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Benjamin Kibicho (Guest) on June 23, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
John Lissu (Guest) on April 13, 2021
ππ Mungu akujalie amani
Daniel Obura (Guest) on February 14, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Patrick Kidata (Guest) on February 9, 2021
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Elizabeth Mrema (Guest) on January 6, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
Joseph Kitine (Guest) on December 8, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
George Tenga (Guest) on December 1, 2020
ππ Mbarikiwe sana
Mary Sokoine (Guest) on November 11, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elijah Mutua (Guest) on August 23, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Nancy Kawawa (Guest) on August 2, 2020
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Stephen Kangethe (Guest) on July 18, 2020
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Charles Mboje (Guest) on May 7, 2020
Amina
Monica Nyalandu (Guest) on April 20, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mary Mrope (Guest) on March 6, 2020
πππ Mungu akufunike na upendo
Sarah Mbise (Guest) on February 18, 2020
Rehema hushinda hukumu
Christopher Oloo (Guest) on August 24, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Elizabeth Malima (Guest) on June 29, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Jane Muthui (Guest) on May 24, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Linda Karimi (Guest) on April 30, 2019
πππ« Mungu ni mwema
Martin Otieno (Guest) on March 21, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Robert Okello (Guest) on March 10, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Anna Mahiga (Guest) on February 27, 2019
πβ¨ Mungu atakuinua
Nancy Kawawa (Guest) on November 27, 2018
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Joyce Mussa (Guest) on November 7, 2018
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rose Kiwanga (Guest) on October 27, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
David Ochieng (Guest) on October 20, 2018
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Ann Wambui (Guest) on October 13, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
Nora Lowassa (Guest) on May 28, 2018
ππ Nakusihi Mungu
Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Agnes Sumaye (Guest) on January 13, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu