Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!
Date: December 20, 2015
Author: Melkisedeck Leon Shine
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiweβ¦β¦"
Akameza mate kisha akaendeleaβ¦.
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
STORY ZA WASICHANA KTK SIM
Mary⦠Hallow mpenzii
Lilyβ¦. Niambie my dear
Mary...
Read More
Lakini sisi wanaume hatuko fair β¦ Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang...
Read More
Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisaβ¦. ...
Read More
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili...
Read More
Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ...
Read More
Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul...
Read More
Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil...
Read More
Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "...
Read More
Eti kati yaΒ MAMBAΒ naΒ KIBOKOΒ nani kiboko???ππππ...
Read More
Kama ni ubahili hapa umezidi
mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ...
Read More
Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2024
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2024
ππ
Yusra (Guest) on March 2, 2024
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2024
π€£π₯π
Anna Malela (Guest) on February 17, 2024
π Bado nacheka!
Janet Mbithe (Guest) on February 13, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Fadhila (Guest) on February 3, 2024
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Nassar (Guest) on January 31, 2024
π Kicheko bora ya siku!
Irene Makena (Guest) on December 1, 2023
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
James Kawawa (Guest) on November 27, 2023
Nimecheka hadi machozi π€£π
Simon Kiprono (Guest) on November 21, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Diana Mallya (Guest) on October 29, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
John Lissu (Guest) on October 15, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 19, 2023
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Aziza (Guest) on August 25, 2023
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Jacob Kiplangat (Guest) on August 1, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Charles Mboje (Guest) on July 18, 2023
Hii ni ya maana sana! ππ
David Kawawa (Guest) on June 1, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Violet Mumo (Guest) on April 12, 2023
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Nasra (Guest) on March 31, 2023
π€£ Hii imewaka moto!
Diana Mallya (Guest) on March 27, 2023
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Victor Sokoine (Guest) on March 26, 2023
π€£ Sikutarajia hiyo!
Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2023
ππππ
Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Margaret Mahiga (Guest) on March 1, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
James Malima (Guest) on December 31, 2022
π Hii ni kali sana!
Mariam Kawawa (Guest) on December 22, 2022
π Naihifadhi hii!
Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Edith Cherotich (Guest) on November 9, 2022
ππ€£ππ
Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022
π πππ
Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
David Sokoine (Guest) on August 29, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
John Mwangi (Guest) on August 18, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Lydia Mutheu (Guest) on August 18, 2022
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Emily Chepngeno (Guest) on August 2, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2022
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Mwanaisha (Guest) on July 18, 2022
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Peter Mbise (Guest) on July 6, 2022
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022
π Bado ninacheka!
Mgeni (Guest) on March 2, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2022
π€£ππ
John Malisa (Guest) on December 18, 2021
π Hii ni dhahabu!
Mgeni (Guest) on December 11, 2021
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Tabitha Okumu (Guest) on December 8, 2021
π€£ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2021
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2021
π ππ
Joyce Nkya (Guest) on November 6, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2021
ππ
Aziza (Guest) on October 14, 2021
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Rose Kiwanga (Guest) on September 20, 2021
Hii ni kali sana! ππ€£
Samson Tibaijuka (Guest) on August 30, 2021
ππ ππ
Aziza (Guest) on July 3, 2021
π Umenishika vizuri!
Betty Akinyi (Guest) on June 29, 2021
ππ
Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Andrew Mahiga (Guest) on May 18, 2021
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Mary Kendi (Guest) on April 19, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£