Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on April 26, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 16, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaisha (Guest) on January 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Mwangi (Guest) on October 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on August 20, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Kabura (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on April 12, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mjaka (Guest) on April 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shamsa (Guest) on February 17, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Kawawa (Guest) on February 13, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khatib (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Richard Mulwa (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Arifa (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on October 22, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on October 20, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on October 11, 2022

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on October 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mushi (Guest) on September 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Maimuna (Guest) on September 11, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 25, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nassor (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Ochieng (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Nasra (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jackson Makori (Guest) on February 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on February 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on January 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on December 29, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on November 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles