Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on July 7, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

John Lissu (Guest) on June 15, 2024

😆😂👏

Baraka (Guest) on June 8, 2024

😄 Umenishika vizuri!

Frank Macha (Guest) on May 25, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Joseph Kawawa (Guest) on May 21, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Christopher Oloo (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Nancy Kabura (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Rose Amukowa (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Monica Nyalandu (Guest) on February 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on January 15, 2024

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Amani (Guest) on January 7, 2024

😆 Naihifadhi hii!

Betty Kimaro (Guest) on December 18, 2023

😊🤣🔥

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2023

🤣😆😊😂

Faiza (Guest) on November 28, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2023

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Charles Wafula (Guest) on November 26, 2023

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii imenikuna! 😆😊

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Grace Wairimu (Guest) on October 1, 2023

😅 Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on September 15, 2023

😆😅😂

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mariam Kawawa (Guest) on July 11, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on July 4, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Victor Malima (Guest) on May 20, 2023

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Catherine Mkumbo (Guest) on May 15, 2023

Umesema kweli! 👌😂

Mary Kendi (Guest) on May 9, 2023

🤣👍👌

George Wanjala (Guest) on May 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mzee (Guest) on April 3, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2023

😂😂🤣

Patrick Mutua (Guest) on February 18, 2023

😄😅👏😂

Jackson Makori (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Mary Kidata (Guest) on January 31, 2023

😂🤣😆👏

Mwanaidha (Guest) on January 21, 2023

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Malela (Guest) on December 23, 2022

😆 Nacheka hadi chini!

Biashara (Guest) on December 14, 2022

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Abdullah (Guest) on October 26, 2022

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on October 24, 2022

😂 Nacheka hadi nalia!

Mary Mrope (Guest) on October 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Josephine Nekesa (Guest) on October 6, 2022

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Robert Ndunguru (Guest) on August 26, 2022

👏🤣😆😂

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2022

🤣🤣👏😆

Anna Malela (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Peter Mugendi (Guest) on July 17, 2022

😂😅

Frank Sokoine (Guest) on July 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Brian Karanja (Guest) on July 8, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Baridi (Guest) on June 13, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Hellen Nduta (Guest) on May 2, 2022

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Lissu (Guest) on April 12, 2022

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fadhila (Guest) on April 10, 2022

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on April 3, 2022

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2022

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Samuel Were (Guest) on March 25, 2022

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEE💪💪
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact