Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

Dereva kuona hivyo, akasimamisha gari mita 5 kutoka kwenye mti… Akawaambia abiria, "Humu ndani ya basi, kuna mtu ambaye leo ni siku yake ya kufa, tena kufa kwa radi. Ili tusife wote, nataka kila abiria ashuke akaguse mti ili anayepigwa na radi, apigwe wengine wasife kwa ajili yake. "Abiria wakitetemeka, wakaanza kushuka mmoja mmoja. Unaenda unagusa mti , kisha unarudi kwenye basi. Abiria wote pamoja na dereva mmoja mmoja, wakaenda, wakagusa mti na kurudi bila dhara lolote! Akawa kabaki abiria mmoja tu, ambaye alikuwa hajagusa mti. Abiria wote kwa macho ya hasira wakamwambia akaguse mti. Akawa anaogopa kufa. Akagoma. Wakamlazimisha kwa nguvu sana na kumtoa nje……. …….. Yule abiria akiwa amefumba macho, akaenda akagusa mti. Hamadi bin Vuu! Radi kali sana ikalipiga basi, abiria na wote waliokuwamo, wakafa palepale. Kumbe uwepo wake ndio ulikuwa unazuia abiria wengine wasidhurike na radi.

MAFUNZO

1. Unapofanikiwa, huwezi jua uwepo wa nani umefanikisha mafanikio yako, usichukue sifa zote peke yako. Wapatie na wengine bila kumsahau MUNGU.
2. Unaweza kujiona huna thamani sehemu ulipo, iwe kwenye kundi la WhatsApp, darasani, kazini, kwenye basi, barabarani bila kujua kama uwepo wako ni wa muhimu sana kwa ustawi wa wengine.
3. Usimtenge wala kumnyanyasa mtu au jirani yako, huwezi jua uwepo wake ni kwa ajili gani.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mchome (Guest) on July 8, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on May 4, 2024

Dumu katika Bwana.

Miriam Mchome (Guest) on March 11, 2024

Endelea kuwa na imani!

Kevin Maina (Guest) on February 29, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Samuel Were (Guest) on October 30, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Esther Nyambura (Guest) on October 22, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nancy Kabura (Guest) on September 18, 2023

Mungu akubariki!

James Mduma (Guest) on September 9, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2023

Rehema zake hudumu milele

Grace Njuguna (Guest) on August 22, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Charles Mboje (Guest) on May 29, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Agnes Lowassa (Guest) on October 30, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Sarah Achieng (Guest) on May 25, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Agnes Njeri (Guest) on April 28, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Elizabeth Mrope (Guest) on April 11, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Stephen Malecela (Guest) on September 30, 2021

Neema na amani iwe nawe.

Patrick Mutua (Guest) on June 16, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

John Lissu (Guest) on June 13, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Janet Wambura (Guest) on December 9, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Chris Okello (Guest) on December 3, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Hellen Nduta (Guest) on November 29, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Kiwanga (Guest) on November 16, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Janet Sumaye (Guest) on August 5, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Minja (Guest) on May 24, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Malisa (Guest) on December 7, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Bernard Oduor (Guest) on July 10, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on July 8, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Wanyama (Guest) on June 22, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Michael Mboya (Guest) on May 17, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Mrema (Guest) on April 27, 2019

Rehema hushinda hukumu

Kevin Maina (Guest) on January 25, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lydia Mahiga (Guest) on September 5, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Janet Mbithe (Guest) on May 24, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Musyoka (Guest) on November 10, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

David Ochieng (Guest) on August 9, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Janet Wambura (Guest) on August 7, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Lucy Mushi (Guest) on April 21, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samuel Omondi (Guest) on April 21, 2017

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

David Nyerere (Guest) on November 20, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nekesa (Guest) on November 12, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Malela (Guest) on September 29, 2016

Nakuombea πŸ™

Janet Mwikali (Guest) on July 2, 2016

Sifa kwa Bwana!

Paul Ndomba (Guest) on June 16, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Linda Karimi (Guest) on November 29, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Monica Lissu (Guest) on October 16, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Nancy Akumu (Guest) on October 13, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

John Lissu (Guest) on September 13, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on August 16, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Susan Wangari (Guest) on June 19, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Related Posts

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Read More
Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Roho Mtakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Roho Mtakatifu?

Katika Kanisa Katoliki, Roho Mtakatifu ni Mungu mmoja katika Utatu Mtakatifu (Baba, Mwana, na Roh... Read More

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Upatanisho?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Upatanisho?

Kanisa Katoliki linayo imani thabiti kuhusu sakramenti ya Upatanisho. Ni sakramenti ambayo inakub... Read More

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Read More
Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofa... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi? Jib... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Read More
Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Read More