Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mcheki Chizi na daktari

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen…
236 💬 ⬇️

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

236 💬 ⬇️

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia anachokisema Madenge sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About