Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

236 πŸ’¬ ⬇️

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

236 πŸ’¬ ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 πŸ’¬ ⬇️

Utoto bwana. Raha sana!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Featured Image
235 πŸ’¬ ⬇️

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Featured Image
Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA?
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About