Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mapenzi Stress tupu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Featured Image
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
236 💬 ⬇️

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image
237 💬 ⬇️

Hii sasa kali kweli kweli!!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.
237 💬 ⬇️

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 💬 ⬇️

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image
Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endelea…"
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About