Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endeleaβ¦"
"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia⦠Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."
Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."
"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.
Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe na hilo?"
Kimyaaβ¦.
"Padri yesu atanisamehe?"
kimyaβ¦.
Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.
Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetuβ¦β¦."
Josephine (Guest) on July 20, 2024
π Umenishika vizuri!
Zulekha (Guest) on July 11, 2024
π Kichekesho gani!
Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Joseph Kawawa (Guest) on July 9, 2024
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Sarafina (Guest) on July 9, 2024
π Umeshinda mtandao leo!
Josephine Nduta (Guest) on July 1, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Diana Mumbua (Guest) on June 25, 2024
Hii imenibamba sana! π π€£
James Kimani (Guest) on June 18, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Joyce Aoko (Guest) on June 1, 2024
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Lydia Mahiga (Guest) on May 29, 2024
Nimeipenda hii joke! ππ
John Lissu (Guest) on May 21, 2024
ππ
Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
George Tenga (Guest) on March 28, 2024
Napenda jokes zenu! ππ
Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2024
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Lydia Mzindakaya (Guest) on January 31, 2024
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
David Sokoine (Guest) on January 26, 2024
π€£ππ
Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2024
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2024
ππ€£π
Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Rose Waithera (Guest) on December 25, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
George Tenga (Guest) on November 27, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on November 17, 2023
π Hii imenigonga kweli!
Robert Okello (Guest) on October 29, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Lydia Wanyama (Guest) on August 8, 2023
ππππ
Andrew Mahiga (Guest) on August 1, 2023
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2023
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Joyce Aoko (Guest) on March 10, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Lydia Wanyama (Guest) on February 27, 2023
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Hassan (Guest) on February 17, 2023
π Kali sana!
Nyota (Guest) on February 16, 2023
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Samson Mahiga (Guest) on January 10, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Selemani (Guest) on December 23, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2022
π€£ππ
Stephen Mushi (Guest) on October 2, 2022
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Elizabeth Mrope (Guest) on September 21, 2022
π Kichekesho kamili!
Linda Karimi (Guest) on September 19, 2022
π Bado nacheka!
Joseph Mallya (Guest) on July 4, 2022
π Nimeipenda kabisa hii!
Mwanakhamis (Guest) on June 30, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Alex Nyamweya (Guest) on June 24, 2022
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
David Nyerere (Guest) on June 6, 2022
Umesema kweli! ππ
Chris Okello (Guest) on May 29, 2022
Nimefurahia sana hii! π π
Patrick Mutua (Guest) on May 26, 2022
π Nacheka hadi chini!
Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Ruth Wanjiku (Guest) on May 10, 2022
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Tambwe (Guest) on May 7, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2022
ππ€£ππ
Andrew Mahiga (Guest) on April 27, 2022
π Nacheka hadi nalia!
Lydia Wanyama (Guest) on April 21, 2022
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Raha (Guest) on March 23, 2022
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Rabia (Guest) on March 16, 2022
π Kicheko bora ya siku!
Warda (Guest) on March 4, 2022
π Naihifadhi hii!
Robert Okello (Guest) on February 4, 2022
π πππ
Halima (Guest) on February 4, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Joseph Kitine (Guest) on January 6, 2022
π Umeimaliza kabisa!
Brian Karanja (Guest) on December 28, 2021
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Joyce Aoko (Guest) on December 24, 2021
Hii imenikuna sana! ππ
David Musyoka (Guest) on December 11, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
George Mallya (Guest) on December 10, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ