eBooks: 1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE - Topic 12 - AckySHINE
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani
Updated at: 2024-05-25 16:52:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe
Updated at: 2024-05-25 18:04:24 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaji mapumziko japo ya mwezi. Sasa tafadhali chukua hivi vidonge vya usingizi vitasaidia sana.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno
Updated at: 2023-04-29 22:52:13 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea? JAMAA: please beby forget me. MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi? JAMAA: nakuomba sana forget me. MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake
Updated at: 2024-05-25 18:14:00 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"
MKE: "Mmmh! basi huyo aliebaki atakuwa MAMA MBILINGE KISIKI, maana yule mama ndo ANAJIFANYAGA MGUMU sanaaa.!!"
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo
Updated at: 2024-05-25 17:58:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hii ndiyo bongo sasa!!
Updated at: 2024-05-25 18:11:36 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake
Updated at: 2024-05-25 18:00:23 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo
Updated at: 2024-05-25 18:07:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?" Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh? Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli
Updated at: 2024-05-25 17:02:15 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mcheki Chizi na daktari
Updated at: 2024-05-25 17:12:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili
Updated at: 2024-05-25 18:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo
Updated at: 2024-05-25 17:14:16 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?
Updated at: 2024-05-25 17:50:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya
Updated at: 2023-04-29 22:52:17 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
Updated at: 2024-05-25 17:48:24 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake
Updated at: 2024-05-25 18:13:25 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaβ¦.Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"
ZUZU:"Sunguramilia."
2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTAβ¦Je rais wa kwanza wa Tanzania aliitwaje?" ZUZU:"TANZANIATTA."
3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGEβ¦Je samaki yuko katika jamii ya nini?"
ZUZU:"MELI."
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hapo sasa akili itakuja
Updated at: 2024-05-25 17:06:27 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku
Updated at: 2024-05-25 17:09:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi
Updated at: 2024-05-25 18:05:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
Updated at: 2024-05-25 17:03:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kichekesho cha mtalii na mbongo
Updated at: 2024-05-25 17:58:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Usichokijua kuhusu shamba lako
Updated at: 2024-05-25 17:01:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?
Updated at: 2024-05-25 17:57:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata
Updated at: 2024-05-25 18:04:44 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Cheki tulichokifanya jana
Updated at: 2024-05-25 17:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA
Updated at: 2024-05-25 17:47:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Eti kwani wewe ni turubali?
Updated at: 2024-05-25 17:07:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani
Updated at: 2024-05-25 18:07:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri. DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia. BABA: kwanini unasema hivyo?.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu
Updated at: 2024-05-25 17:12:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi
Updated at: 2025-01-31 22:06:05 (4 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi
Updated at: 2024-05-25 16:56:03 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti
Updated at: 2024-05-25 17:10:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ