1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwakoβ¦
2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.
4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:
WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake
WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform
WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi
WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!
WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja
5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"
6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaaβ¦β¦!
7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"
8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi⦠Wamefunga duka?
9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"
10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."
Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2024
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Ann Wambui (Guest) on July 7, 2024
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
David Chacha (Guest) on July 2, 2024
ππ ππ
Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2024
π Naihifadhi hii!
Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2024
Nimecheka hadi machozi π€£π
Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Daudi (Guest) on May 21, 2024
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Nora Lowassa (Guest) on May 9, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Arifa (Guest) on April 15, 2024
π Siwezi kuacha kucheka!
Anna Mchome (Guest) on April 9, 2024
πππ
Elizabeth Mtei (Guest) on April 5, 2024
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Mwafirika (Guest) on March 12, 2024
π€£ Hii imenigonga vizuri!
George Ndungu (Guest) on February 24, 2024
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Yahya (Guest) on January 14, 2024
π Kichekesho gani!
George Ndungu (Guest) on December 23, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Lucy Mushi (Guest) on November 16, 2023
Nimefurahia sana hii joke! π π
Monica Adhiambo (Guest) on November 5, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023
π€£π€£π
Kahina (Guest) on October 21, 2023
π Bado nacheka!
Margaret Mahiga (Guest) on October 7, 2023
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Charles Mboje (Guest) on September 25, 2023
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Shani (Guest) on September 22, 2023
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Dorothy Nkya (Guest) on July 29, 2023
π Kali sana!
Josephine Nekesa (Guest) on June 6, 2023
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Mercy Atieno (Guest) on June 3, 2023
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Simon Kiprono (Guest) on May 23, 2023
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Joseph Kitine (Guest) on May 16, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Raphael Okoth (Guest) on March 21, 2023
π€£ππ
Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Arifa (Guest) on February 2, 2023
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
John Kamande (Guest) on January 19, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2022
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Nora Lowassa (Guest) on December 5, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Raphael Okoth (Guest) on December 5, 2022
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
John Mwangi (Guest) on October 24, 2022
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Ann Wambui (Guest) on October 2, 2022
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Michael Mboya (Guest) on September 26, 2022
Umetisha! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on September 2, 2022
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Paul Kamau (Guest) on August 15, 2022
Hii imenibamba sana! π π€£
Grace Minja (Guest) on August 9, 2022
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Stephen Mushi (Guest) on July 11, 2022
π Bado ninacheka!
Nora Lowassa (Guest) on July 3, 2022
π€£ππ
Anna Sumari (Guest) on June 26, 2022
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Rose Amukowa (Guest) on June 25, 2022
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Tambwe (Guest) on June 15, 2022
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Mtumwa (Guest) on June 12, 2022
π Ninakufa hapa!
Mjaka (Guest) on June 8, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Mary Sokoine (Guest) on May 30, 2022
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Kevin Maina (Guest) on May 26, 2022
ππ€£
Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2022
Hii imenikuna! ππ
Miriam Mchome (Guest) on March 21, 2022
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Stephen Kangethe (Guest) on March 10, 2022
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Husna (Guest) on February 25, 2022
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Esther Nyambura (Guest) on February 7, 2022
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Nassar (Guest) on February 5, 2022
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Charles Mboje (Guest) on January 20, 2022
Hizi jokes zinabamba sana! ππ