Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoidoβ¦..leo nimetoka Likizo Moshi,
"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!
Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!β¦kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?β¦kwa Style ipi?
Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!β¦sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,β¦hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,β¦.hapa sasa nikapata wazo!
"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''
"Mia mbili tu Kaka!"
''Ok"
Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,
"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)
"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''
Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!β¦Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!β¦My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!
"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"
Kimyaβ¦
"Dogo huu Mzani vipi?"
Kimyaβ¦
Dogo ana dharau huyu!β¦Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!β¦.ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!β¦Dogo hakuwepo!β¦.na Mabegi pia hayapo!β¦lap top haipo!β¦.NIMEPIGWA!
Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!β¦.sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!β¦yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!β¦niitieni Ambulance!
ππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌ
Rose Lowassa (Guest) on July 10, 2024
ππ€£ππ
Safiya (Guest) on June 24, 2024
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Bakari (Guest) on June 5, 2024
π Umenishika vizuri!
Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2024
π Hiyo punchline!
Salum (Guest) on April 16, 2024
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Grace Mligo (Guest) on April 4, 2024
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Mary Mrope (Guest) on March 5, 2024
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 1, 2024
Mna talent ya jokes! ππ
David Ochieng (Guest) on February 24, 2024
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Rose Amukowa (Guest) on February 24, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Nancy Akumu (Guest) on February 21, 2024
π€£ππ
Wilson Ombati (Guest) on February 14, 2024
π Hii imenigonga kweli!
Monica Lissu (Guest) on February 5, 2024
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Susan Wangari (Guest) on January 21, 2024
ππ π
Thomas Mwakalindile (Guest) on January 15, 2024
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Alex Nyamweya (Guest) on December 24, 2023
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on December 17, 2023
π Ninacheka sana sasa hivi!
Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2023
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Joseph Mallya (Guest) on September 28, 2023
π πππ
Selemani (Guest) on September 3, 2023
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Catherine Mkumbo (Guest) on August 20, 2023
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Linda Karimi (Guest) on August 19, 2023
ππ
Josephine Nekesa (Guest) on August 1, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2023
ππ ππ
Ibrahim (Guest) on June 19, 2023
π Bado nacheka!
Zubeida (Guest) on June 16, 2023
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Abubakari (Guest) on June 10, 2023
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Joseph Kawawa (Guest) on June 10, 2023
ππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on May 11, 2023
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Charles Mchome (Guest) on April 14, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Sarah Achieng (Guest) on March 27, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Catherine Naliaka (Guest) on March 14, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Paul Kamau (Guest) on March 8, 2023
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Moses Kipkemboi (Guest) on March 7, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Lucy Wangui (Guest) on February 4, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Faiza (Guest) on February 2, 2023
π Kichekesho kamili!
Mary Njeri (Guest) on January 27, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
Neema (Guest) on January 22, 2023
π€£ Hii imewaka moto!
Salima (Guest) on January 21, 2023
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Henry Mollel (Guest) on January 9, 2023
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Peter Tibaijuka (Guest) on January 3, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Richard Mulwa (Guest) on January 2, 2023
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Sarah Achieng (Guest) on December 28, 2022
ππππ
Raha (Guest) on December 22, 2022
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Diana Mumbua (Guest) on November 29, 2022
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Agnes Sumaye (Guest) on November 12, 2022
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
George Ndungu (Guest) on November 5, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on November 1, 2022
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Mary Kendi (Guest) on October 28, 2022
π€£ππ
Shani (Guest) on October 14, 2022
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2022
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Alice Jebet (Guest) on September 25, 2022
Hii imenibamba sana! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2022
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on September 8, 2022
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Francis Njeru (Guest) on September 5, 2022
πππ€£
Josephine Nekesa (Guest) on September 5, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Mwanajuma (Guest) on August 22, 2022
π Nacheka hadi nalia!
James Kimani (Guest) on July 15, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Mwanaidha (Guest) on July 10, 2022
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!