Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!
Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone
Mama akaenda na Bakari akaanza
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya
Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu
Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Chiku (Guest) on May 2, 2024
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Shamsa (Guest) on April 27, 2024
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Ann Wambui (Guest) on April 24, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Patrick Mutua (Guest) on April 14, 2024
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on April 9, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Jane Muthui (Guest) on April 2, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2024
π Kichekesho gani!
Irene Makena (Guest) on March 22, 2024
π Bado nacheka!
Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2024
ππ€£ππ
Diana Mumbua (Guest) on February 15, 2024
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Lucy Wangui (Guest) on February 14, 2024
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Stephen Kikwete (Guest) on February 12, 2024
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Sharifa (Guest) on January 27, 2024
π Nilihitaji hii!
John Mushi (Guest) on January 14, 2024
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Mariam Hassan (Guest) on January 13, 2024
Hii ni bomba sana! π€£π
John Lissu (Guest) on January 11, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Maimuna (Guest) on December 24, 2023
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Monica Nyalandu (Guest) on December 10, 2023
ππ€£ππ
Zainab (Guest) on December 6, 2023
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Hellen Nduta (Guest) on October 31, 2023
π Hii ni ya kuhifadhi!
Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
John Mushi (Guest) on July 10, 2023
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Zainab (Guest) on June 23, 2023
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Muslima (Guest) on June 21, 2023
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Francis Njeru (Guest) on June 19, 2023
Nimefurahia hii sana! ππ
Henry Mollel (Guest) on June 17, 2023
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Moses Mwita (Guest) on June 12, 2023
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2023
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Agnes Njeri (Guest) on June 1, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Khamis (Guest) on May 29, 2023
π Umenishika vizuri!
Sultan (Guest) on May 17, 2023
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
James Kimani (Guest) on May 16, 2023
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 21, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2023
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Michael Onyango (Guest) on February 23, 2023
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Anna Sumari (Guest) on February 3, 2023
ππ€£π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2023
π€£π₯π
Jane Muthui (Guest) on January 18, 2023
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Dorothy Nkya (Guest) on January 3, 2023
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
John Lissu (Guest) on December 30, 2022
Hii imenichekesha sana! π€£π
Khamis (Guest) on November 25, 2022
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Sumaya (Guest) on November 18, 2022
π Kali sana!
Philip Nyaga (Guest) on October 23, 2022
Asante Ackyshine
Mwanais (Guest) on October 7, 2022
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
John Lissu (Guest) on September 22, 2022
Hii ni ya maana sana! ππ
Mgeni (Guest) on September 13, 2022
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Betty Akinyi (Guest) on August 26, 2022
ππππ
George Ndungu (Guest) on July 29, 2022
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
James Kawawa (Guest) on July 15, 2022
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Benjamin Kibicho (Guest) on July 1, 2022
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2022
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Fadhili (Guest) on May 31, 2022
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 27, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Grace Mligo (Guest) on May 15, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Peter Mugendi (Guest) on May 7, 2022
ππππ
Peter Otieno (Guest) on May 5, 2022
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Lucy Wangui (Guest) on March 17, 2022
Hii imenikumbusha enzi zile! π π