Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on April 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwajabu (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Wande (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Nyerere (Guest) on November 28, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Okello (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on May 4, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rukia (Guest) on November 13, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on August 19, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Farida (Guest) on July 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3