Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mahiga (Guest) on July 17, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on July 4, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Kimaro (Guest) on June 24, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on May 23, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Susan Wangari (Guest) on May 9, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

David Nyerere (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Frank Macha (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Agnes Sumaye (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 21, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Azima (Guest) on December 13, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on December 8, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Issa (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusra (Guest) on November 9, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Malima (Guest) on November 8, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Shabani (Guest) on October 29, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mrope (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Lowassa (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abubakar (Guest) on September 23, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Amollo (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 9, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on September 8, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Minja (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 31, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Abdillah (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Arifa (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwajuma (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Mwangi (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 15, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 30, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Komba (Guest) on April 19, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on April 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nassar (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on February 14, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mzee (Guest) on February 7, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Daniel Obura (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jackson Makori (Guest) on January 10, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jafari (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Habiba (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 10, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on October 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Emily Chepngeno (Guest) on September 23, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Maneno (Guest) on June 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More