Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kabura (Guest) on July 15, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jafari (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 1, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on June 30, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on June 8, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Wafula (Guest) on May 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on May 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on April 14, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ahmed (Guest) on March 5, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nancy Kabura (Guest) on February 6, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on January 21, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nchi (Guest) on January 14, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on December 20, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Mushi (Guest) on December 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 12, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Diana Mumbua (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mhina (Guest) on September 12, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on September 4, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 14, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on July 28, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on July 19, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 11, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Njeri (Guest) on June 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on March 25, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on March 20, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 10, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on March 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on February 13, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on January 23, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on December 28, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Shamim (Guest) on October 29, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on October 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on September 12, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on September 3, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jane Muthui (Guest) on August 26, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Furaha (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on August 16, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on June 30, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More