Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on July 20, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Isaac Kiptoo (Guest) on July 10, 2024

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on July 3, 2024

😂👌😆😊

Ndoto (Guest) on July 2, 2024

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Alice Wanjiru (Guest) on June 10, 2024

😅😂😄

Bernard Oduor (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Monica Adhiambo (Guest) on June 4, 2024

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on May 27, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Wanyama (Guest) on March 27, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Emily Chepngeno (Guest) on February 22, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Josephine Nduta (Guest) on December 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Grace Mligo (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Jamila (Guest) on November 17, 2023

😆 Kali sana!

David Nyerere (Guest) on October 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Yusuf (Guest) on September 18, 2023

😂 Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on September 14, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Rose Kiwanga (Guest) on August 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Miriam Mchome (Guest) on July 12, 2023

😂🤣

Grace Majaliwa (Guest) on July 5, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Asha (Guest) on June 14, 2023

😆 Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2023

😄 Kichekesho kamili!

Janet Sumaye (Guest) on May 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Elizabeth Mrope (Guest) on April 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2023

😂 Ninashiriki mara moja!

Carol Nyakio (Guest) on February 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Mwanaisha (Guest) on February 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Francis Mtangi (Guest) on January 25, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Tabitha Okumu (Guest) on December 16, 2022

😊😂😅👏

Anthony Kariuki (Guest) on December 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

Ruth Wanjiku (Guest) on November 20, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Amina (Guest) on November 1, 2022

🤣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

John Malisa (Guest) on October 25, 2022

😅 Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on October 13, 2022

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kazija (Guest) on October 2, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on September 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Nancy Kawawa (Guest) on July 15, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Elizabeth Malima (Guest) on June 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Esther Nyambura (Guest) on June 9, 2022

Hii ni kali sana! 😂🤣

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Jane Muthui (Guest) on May 25, 2022

Hii imenikuna sana! 😆😅

Samuel Omondi (Guest) on May 23, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2022

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on April 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2022

😅😊😂👏

Esther Cheruiyot (Guest) on April 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Alice Wanjiru (Guest) on April 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Mwafirika (Guest) on March 21, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Benjamin Kibicho (Guest) on March 7, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2022

🤣🤣😂

Joyce Aoko (Guest) on February 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Ramadhan (Guest) on February 9, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Lucy Kimotho (Guest) on February 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Esther Cheruiyot (Guest) on January 8, 2022

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikera et nmemkubalia urafiki Leo tu Faceb... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3