Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 14, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 7, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Halimah (Guest) on April 14, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on April 7, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on February 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rubea (Guest) on January 5, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on November 14, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on October 30, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on October 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on October 9, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Amir (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Mligo (Guest) on September 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Mduma (Guest) on August 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 7, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 31, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mchawi (Guest) on May 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Wangui (Guest) on May 13, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on March 9, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mboje (Guest) on December 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 6, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on December 5, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on November 25, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles