Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mushi (Guest) on June 4, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jamila (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kiza (Guest) on May 25, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on May 10, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Nyambura (Guest) on May 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nyota (Guest) on April 26, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rose Kiwanga (Guest) on April 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salima (Guest) on April 12, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Chris Okello (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Kamau (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Zakaria (Guest) on March 3, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on January 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on December 26, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 20, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on December 2, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Awino (Guest) on October 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Faiza (Guest) on August 20, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Jane Muthoni (Guest) on July 4, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on June 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 22, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Maneno (Guest) on June 3, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on March 20, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Khatib (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on December 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on December 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on December 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sultan (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alex Nakitare (Guest) on November 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Josephine Nekesa (Guest) on November 4, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on September 30, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam (Guest) on August 7, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Wangui (Guest) on June 18, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Mohamed (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on April 18, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 12, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on April 9, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on March 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on March 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact