Mimi Nimecheka sana
ππππππππππ
ZIARA ZA KUSHTUKIZAππ
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.
Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.
Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, βMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapiβ Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.
Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, βMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyoβ. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.
Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, βSalama kaka unasemaje?β Jibu likanitoka βSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yanguβ Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani
Grace Mushi (Guest) on June 4, 2024
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Jamila (Guest) on June 3, 2024
π Siwezi kuacha kucheka!
Kiza (Guest) on May 25, 2024
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Catherine Naliaka (Guest) on May 14, 2024
Umesema kweli! ππ
Sarah Mbise (Guest) on May 10, 2024
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Esther Nyambura (Guest) on May 1, 2024
π Kali sana!
Nyota (Guest) on April 26, 2024
π Hii ni ya kuhifadhi!
Rose Kiwanga (Guest) on April 19, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Salima (Guest) on April 12, 2024
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Khatib (Guest) on April 3, 2024
π Umenishika vizuri!
Chris Okello (Guest) on March 24, 2024
π Kali sana!
Victor Kamau (Guest) on March 10, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Zakaria (Guest) on March 3, 2024
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Faith Kariuki (Guest) on January 15, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Alice Mrema (Guest) on December 28, 2023
ππ
Rose Amukowa (Guest) on December 26, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Victor Kimario (Guest) on December 20, 2023
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Francis Njeru (Guest) on December 20, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Lydia Mahiga (Guest) on December 2, 2023
π€£ππ
Mary Sokoine (Guest) on November 7, 2023
π Ninakufa hapa!
Ann Awino (Guest) on October 17, 2023
Hii imenikuna sana! ππ
Faiza (Guest) on August 20, 2023
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2023
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Jane Muthoni (Guest) on July 4, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
David Sokoine (Guest) on June 28, 2023
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Jacob Kiplangat (Guest) on June 22, 2023
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on June 21, 2023
πππ€£
Lucy Mushi (Guest) on June 21, 2023
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Nancy Komba (Guest) on June 8, 2023
ππ€£ππ
Charles Mchome (Guest) on June 3, 2023
ππππ
Maneno (Guest) on June 3, 2023
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2023
πππ π
Grace Majaliwa (Guest) on April 10, 2023
πππ π€£
Charles Wafula (Guest) on March 20, 2023
ππ€£ππ
Alice Mwikali (Guest) on February 19, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2023
Hii imenibamba sana! ππ
Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2023
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2023
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Khatib (Guest) on January 21, 2023
π Bado nacheka!
Rose Amukowa (Guest) on December 28, 2022
Kweli mna ucheshi! ππ€£
David Chacha (Guest) on December 28, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Charles Mrope (Guest) on December 24, 2022
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Zawadi (Guest) on December 22, 2022
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Sultan (Guest) on December 18, 2022
π Kali sana!
Grace Mushi (Guest) on December 17, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2022
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Alex Nakitare (Guest) on November 14, 2022
π€£π₯π
Josephine Nekesa (Guest) on November 4, 2022
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Mary Kidata (Guest) on September 30, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Mariam (Guest) on August 7, 2022
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Brian Karanja (Guest) on July 14, 2022
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Lucy Wangui (Guest) on June 18, 2022
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022
π Bado nacheka!
Mohamed (Guest) on May 28, 2022
π Nilihitaji hii!
Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Anna Sumari (Guest) on April 18, 2022
Napenda jokes zenu! ππ
Victor Malima (Guest) on April 12, 2022
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Daniel Obura (Guest) on April 9, 2022
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
John Mushi (Guest) on March 27, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
David Ochieng (Guest) on March 22, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ