Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 259

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Jul 18, 2024
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 13, 2025
"TANGAZO"
"TANGAZO"
"JAMANI"
"ABU"
"NIMEPOTEA
"ATAKAENIONA
"ANIPE"TARIFA"
"MANA"
NIMESHAJITAFUTA
SANA"RAKINI"SIJIPATI"

ABU MAHEMBE ME by
nipe
taarifa sasa 0681305278
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 8, 2025
ety wewe nikiungo gani kilichojificha lakini ndo kinatumika sana kwenyemwili wabinadam ....?
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 10, 2025
:KADI YA MWARIKO: wa VITA
familiya ya mzee MAANDAMANO
NA bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe ya mtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe
MABOM NARISASI NDO chakura chenu kilichopo eneo la mtaani kwako tarehe9mwezi12 tunakukaribisha sana kwa maelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI UMAUT WAKO NDO mafanikio ya sherehe hiyo
ABU MAHEMBE
menn by
hahaha misimo
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 10, 2025
:KADI YA MWARIKO:
WA vita
familiya ya mzee MAANDANO na
bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe yamtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe MABOM NA RISASI yaliopo eneo lamtaani kwako tarehe 19 mwezi 12vinakukaribisha sana kwamaelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI hadi usiku UMAUTI WAKO ndiyo mafanikio yasherehe hiyo
ABU MENN BY
HAHAHA nyoote mnakaribishwaa
misimo
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 8, 2025
".nampenda sana mama
nawewe ndugu yangu mpende sana mamayako mana yeye ndo kafanya mimi nawewe tukajuana muheshim mamayako haijalishi yuko vp kabra hujawaza kumzalau mama yako fikilia kwanza amekubeba tumboni myezi 9 mkumbuke kwaicho kdogo ulichopata mana hata yeye kipindi uko mdogo hakuweza kula paka uliposhiba wewe
hakuvaa nguo nzuri paka ulipo pendeza wewe hakulala usiku paka ulipo lala wewe nabado haikutosha miguu yake ukaifanya ndo choo chako mapajayake ukayafanya kiti chako mgongo wake ukaufanya gari lako lausafiri kila alipo upo nabado haikutosha akajifunya lugha yako yautotoni isioeleweka ir unapoongea ajue unahitaji nini akawa kama kichaa kukuchezesha iri usilie kukuongeresha hali yakuwa huongei ili ujuwe lugha sahihi paka leo umesimama amepitia meng mazito nandomana mama amepewa cheo kikubwa kwamtoto mama nimungu wapili baba asingeweza mama akikupa ladhi hutofanikiwa maisha yako yote nawenda ukawa chizi kabisa
ABU menn by
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 8, 2025
kunasiku baba aliniambia nikasimamie wafanyakazi mi nikaenda kuwasimamia kweli hadi mda wakula nimewasimamia baba akanikuta nimesimama ety wewe mbona unawasimamia watu wako wanakula nikamjibu kwani wewe ulinambia nije kuwakalia au kuwasimamia
waTanzania tutenguege kauri utakuta mtu anajita msimamizi wakati mda wote amekaa oficini sasa wewe nimsimamizi au mkalizi hahaha
abu meenn by
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 3, 2025
watoto waefumbili hamzeeki kila siku watoto wa2000 sasa kwanzia leo nawaita mabibi wa2000
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
yani:mtu:unajickia kumpenda:: :mtu::alafu
anashindwa::kukuamini::
ety we binti wambeya :kwanini huniamini: nakupenda mwenzako
ΒΏ? ΒΏ?
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
''kama ujana maji ""yamoto"""birashaka
""uleo nimaji yabalidi
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jul 3, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣
πŸ‘₯ Guest Guest Dec 2, 2025
".WAKIKULIZA."
".WAMBIE."
".BADO
NATAFUTA
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
,ukozako sebreni
,umechoka unaskia
,mamayako anakwambia wewe? kamwangalie mtoto inje analia we unamjibu
aliaa_anashoto
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
:ukiamua kujitumazako :ufanye kazi
:utaskia akishavutaga :bangi ndoalivyo
yani waTanzania
mhh^_^
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jun 8, 2024
Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
|YANI UTAKUTA |KUNALIJAMAA |RINAMUOGOPA
|BINADAM MWENZAKE |KULIKO HATA LINAVO MUOGOPA MUNGU
IVI UNAAKIRI WEWE!!
"WEWE DADA WEWEKAKA UNAKUWA NAHOFU NABINADAM KULIKO HATA MUNGU UNAAKILI KWELI WEWE(%)
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
%utakuta libaba lizima linamindevu linakwambia nakula ujana
kumbe ujana unaliwa
uleo je?hauliwi
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest May 27, 2024
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest May 23, 2024
πŸ˜† Ninakufa hapa!
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest May 21, 2024
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Guest Guest Oct 8, 2025
"kihele hele "chakumpenda "mpangaji mwenzangu "
*ona leo nalipa kodi "malambili
"(ABU)SIDO)SAMIRU)SIDO
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest May 9, 2024
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š
πŸ‘₯ Jonath Guest Apr 20, 2024
Good
πŸ‘₯ Guest Guest Oct 8, 2025
"kumbe mungu alifanya "vema watu kufa "isgekua kufa sijui tungekula nini mana duni ingejaa "watu ABU APA wamiki sido
πŸ‘‘ Melkisedeck Leon Shine Master Admin Apr 20, 2024
Inafurahisha na kutafakarisha
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Apr 20, 2024
Hii imenifurahisha sana! 🀣😊
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Apr 20, 2024
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Feb 10, 2024
Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jan 30, 2024
πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Jan 16, 2024
πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Dec 5, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
'utakuta kunalijamaa
.linamchukia mtoa mimba :wakati nalenyewe linapiga nyeto ivi unaakili wewe sasa mpiga nyeto namtoa mimba wote sihali moja kasolo mkia
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 14, 2025
VICHEKESHO
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Nov 5, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Oct 5, 2023
πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Sep 29, 2023
Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Aug 26, 2023
🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
πŸ‘₯ Guest Guest Nov 29, 2025
=mtihani wamaisha
yako mwaka 2025 umetoka somo lauvivu
umepata .23.0%
kujituma .32%
kutukana .45%
utani .75%
upendo .27%
upole .1%
mapenzi .100%
sadaka .0.0%
ibada .5%
kaone usowake
yani yoote umeferi
somo lamapenz ndo umepata mia
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Aug 19, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭
πŸ‘₯ Farida Guest Jul 31, 2023
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
πŸ‘₯ Salum Guest Jul 30, 2023
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Jul 15, 2023
Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jul 8, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Jun 30, 2023
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jun 8, 2023
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…
πŸ‘₯ David Sokoine Guest May 22, 2023
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Nuru Guest May 18, 2023
πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest May 15, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Apr 11, 2023
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Apr 10, 2023
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†
πŸ‘₯ Kheri Guest Mar 19, 2023
πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
πŸ‘₯ Mchawi Guest Mar 5, 2023
🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Jan 24, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„
πŸ‘₯ Maimuna Guest Jan 8, 2023
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Jan 2, 2023
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Dec 31, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Dec 29, 2022
πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Dec 16, 2022
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About