Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?
Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyieβ¦Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.
Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.
Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tuβ¦..πππππ
Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2024
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
James Kawawa (Guest) on July 1, 2024
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Fredrick Mutiso (Guest) on June 30, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Alice Wanjiru (Guest) on June 22, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mary Sokoine (Guest) on April 26, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Nancy Komba (Guest) on April 16, 2024
Hii imenichekesha sana! π€£π
Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2024
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Agnes Njeri (Guest) on March 18, 2024
π Bado nacheka!
Mwanakhamis (Guest) on March 7, 2024
π Nilihitaji kicheko hicho!
Ibrahim (Guest) on February 15, 2024
π Kichekesho kamili!
Linda Karimi (Guest) on December 27, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Ibrahim (Guest) on December 15, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Mwinyi (Guest) on November 23, 2023
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Dorothy Majaliwa (Guest) on November 8, 2023
ππ€£ππ
Mwalimu (Guest) on October 30, 2023
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Rahma (Guest) on October 9, 2023
π Nacheka hadi nalia!
Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Edward Lowassa (Guest) on August 15, 2023
ππππ
Lucy Mahiga (Guest) on July 27, 2023
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Esther Nyambura (Guest) on July 24, 2023
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Anna Kibwana (Guest) on July 4, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Mohamed (Guest) on May 1, 2023
π Ninaihifadhi hii!
Richard Mulwa (Guest) on April 29, 2023
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Mariam Kawawa (Guest) on April 28, 2023
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Mary Mrope (Guest) on April 23, 2023
π€£ Hii imewaka moto!
Grace Wairimu (Guest) on April 18, 2023
ππ€£ππ
Philip Nyaga (Guest) on February 8, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Zakaria (Guest) on February 5, 2023
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023
πππ
Sumaya (Guest) on January 4, 2023
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Joyce Aoko (Guest) on December 17, 2022
πππ€£
Janet Mbithe (Guest) on December 15, 2022
π Nitaiiba hii bila shaka!
Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2022
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
David Kawawa (Guest) on November 21, 2022
Napenda jokes zenu! ππ
Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2022
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Kahina (Guest) on October 23, 2022
π Umeimaliza kabisa!
Salum (Guest) on September 16, 2022
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Kevin Maina (Guest) on September 8, 2022
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Mwanaisha (Guest) on August 2, 2022
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Diana Mallya (Guest) on July 7, 2022
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Ruth Wanjiku (Guest) on July 4, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Azima (Guest) on June 16, 2022
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Monica Adhiambo (Guest) on May 24, 2022
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Hawa (Guest) on May 23, 2022
π Hii ni ya kuhifadhi!
John Kamande (Guest) on May 19, 2022
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Fredrick Mutiso (Guest) on May 15, 2022
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Elijah Mutua (Guest) on April 16, 2022
πππ π
Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2022
Hii imenibamba sana! π π€£
Alice Mwikali (Guest) on March 4, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Andrew Mahiga (Guest) on March 1, 2022
Nimeipenda hii joke! ππ
Anna Mchome (Guest) on February 18, 2022
Nimefurahia sana hii! π π
Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Lucy Mushi (Guest) on January 14, 2022
ππ€£π₯
Mwagonda (Guest) on December 1, 2021
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Stephen Amollo (Guest) on November 16, 2021
ππ
Ruth Mtangi (Guest) on November 4, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Shani (Guest) on October 14, 2021
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π