Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!
Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone
Mama akaenda na Bakari akaanza
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya
Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu
Richard Mulwa (Guest) on March 6, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Rukia (Guest) on February 17, 2022
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Thomas Mwakalindile (Guest) on February 17, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Shani (Guest) on February 4, 2022
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Alice Jebet (Guest) on January 22, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Janet Wambura (Guest) on January 18, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Furaha (Guest) on January 17, 2022
π Kali sana!
Anna Mchome (Guest) on January 11, 2022
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Mchawi (Guest) on January 7, 2022
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Jane Malecela (Guest) on December 26, 2021
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Sharon Kibiru (Guest) on December 20, 2021
π Nalia kwa kweli hapa!
David Kawawa (Guest) on December 20, 2021
π€£π€£ππ
Mwafirika (Guest) on November 22, 2021
π€£ Sikutarajia hiyo!
Charles Mrope (Guest) on November 17, 2021
Nimefurahia sana hii joke! π π
Mwanaidi (Guest) on October 30, 2021
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2021
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Wande (Guest) on October 10, 2021
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Richard Mulwa (Guest) on September 1, 2021
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Stephen Amollo (Guest) on August 18, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Irene Akoth (Guest) on July 5, 2021
π€£ππ
Francis Mrope (Guest) on June 6, 2021
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Joy Wacera (Guest) on June 5, 2021
Hii imenifurahisha sana! ππ
Anna Mchome (Guest) on April 16, 2021
π Nacheka hadi nalia!
Patrick Mutua (Guest) on April 10, 2021
πππ€£
Alice Mwikali (Guest) on February 14, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Grace Minja (Guest) on February 12, 2021
Hii imenikuna! ππ
Rose Kiwanga (Guest) on January 13, 2021
π Ninaihifadhi hii!
Moses Mwita (Guest) on January 9, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
John Malisa (Guest) on December 27, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Henry Sokoine (Guest) on December 16, 2020
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2020
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Baridi (Guest) on December 10, 2020
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2020
Mna talent ya jokes! ππ
James Malima (Guest) on November 4, 2020
π Hii ni kali sana!
Sharifa (Guest) on November 2, 2020
π Bado nacheka!
Bakari (Guest) on October 28, 2020
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Paul Ndomba (Guest) on September 26, 2020
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Miriam Mchome (Guest) on September 23, 2020
π€£ππ
Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on August 31, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Alex Nyamweya (Guest) on August 19, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Jane Malecela (Guest) on July 31, 2020
πππ
Abubakari (Guest) on May 30, 2020
π Naihifadhi hii!
Rahim (Guest) on May 29, 2020
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Chris Okello (Guest) on April 12, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Samuel Omondi (Guest) on April 11, 2020
ππ
Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2020
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Lucy Wangui (Guest) on February 18, 2020
π Umeimaliza kabisa!
Khatib (Guest) on February 18, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Grace Njuguna (Guest) on January 20, 2020
πππ π
Anna Mchome (Guest) on January 11, 2020
πππ€£
Diana Mumbua (Guest) on December 28, 2019
π Lazima nihifadhi hii!
Wande (Guest) on December 3, 2019
π Nitaiiba hii bila shaka!
Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Farida (Guest) on November 10, 2019
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Sarah Achieng (Guest) on October 27, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2019
ππ€£
Wilson Ombati (Guest) on October 11, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019
Ucheshi wa hali ya juu! ππ