Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.
Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini
Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia
Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata
Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi
Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?
Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?
Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022
Hii imenifurahisha sana! 🤣😊
Sarah Mbise (Guest) on May 28, 2022
😅 Bado ninacheka!
Peter Mwambui (Guest) on May 27, 2022
Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂
Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2022
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Charles Mrope (Guest) on May 1, 2022
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Mwanahawa (Guest) on April 30, 2022
😆 Hii imenigonga kweli!
Victor Kamau (Guest) on April 26, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
Samson Tibaijuka (Guest) on April 26, 2022
😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!
Monica Lissu (Guest) on April 17, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂
Athumani (Guest) on April 6, 2022
😅 Nilihitaji hii!
David Ochieng (Guest) on April 2, 2022
Huyu alikuwa na point! 😂👌
Mjaka (Guest) on March 27, 2022
😃 Hali imeboreshwa papo hapo!
Mary Mrope (Guest) on March 27, 2022
😄 Kichekesho gani!
Susan Wangari (Guest) on March 12, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂
Violet Mumo (Guest) on March 1, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂
Furaha (Guest) on February 12, 2022
🤣 Sikutarajia hiyo!
Kevin Maina (Guest) on February 11, 2022
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
Bernard Oduor (Guest) on January 17, 2022
🤣 Hii imewaka moto!
James Malima (Guest) on January 15, 2022
🤣🤣😄😆
Samson Mahiga (Guest) on January 13, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Kijakazi (Guest) on January 3, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 1, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂
Alice Mwikali (Guest) on December 12, 2021
👏🤣😆😂
Abdillah (Guest) on December 9, 2021
🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!
Ruth Mtangi (Guest) on December 2, 2021
Hii imenichekesha sana! 🤣😆
Betty Cheruiyot (Guest) on November 25, 2021
😂😆
Baraka (Guest) on November 18, 2021
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Jackson Makori (Guest) on October 24, 2021
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
Rose Kiwanga (Guest) on October 9, 2021
Umesema kweli! 👌😂
Mary Kidata (Guest) on August 24, 2021
🤣 Nalia kwa kicheko kweli!
Agnes Njeri (Guest) on July 15, 2021
😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Victor Sokoine (Guest) on June 8, 2021
😆😂👏
Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Hashim (Guest) on May 10, 2021
😂 Lazima nihifadhi hii!
Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2021
😆 Naihifadhi hii!
Mohamed (Guest) on March 8, 2021
😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!
John Kamande (Guest) on March 2, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
Catherine Naliaka (Guest) on February 22, 2021
😊😂😅👏
Victor Kimario (Guest) on February 8, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2021
😆 Naihifadhi hii!
Joseph Njoroge (Guest) on December 29, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Nashon (Guest) on December 14, 2020
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
Victor Kimario (Guest) on October 27, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2020
Hii ni bomba sana! 🤣👍
Philip Nyaga (Guest) on October 16, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆
Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
Halimah (Guest) on September 15, 2020
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂
Jackson Makori (Guest) on September 3, 2020
Napenda jokes zenu! 😊😅
Shukuru (Guest) on August 27, 2020
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Alice Mrema (Guest) on August 14, 2020
😄😅👏😂
Esther Nyambura (Guest) on July 31, 2020
Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏
Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2020
Hii imenibamba sana! 😂😅
Lucy Kimotho (Guest) on July 1, 2020
🤣🤣👏😆
Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2020
Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣
Rose Lowassa (Guest) on March 7, 2020
Nimefurahia hii sana! 😆😊
Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊
Raphael Okoth (Guest) on February 22, 2020
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄
Monica Lissu (Guest) on February 3, 2020
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
David Musyoka (Guest) on December 23, 2019
🤣👍👌
Paul Kamau (Guest) on December 22, 2019
😁 Hii ni dhahabu!