Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Mahiga (Guest) on January 5, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

😂🤣😆

Elizabeth Mrema (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Janet Mwikali (Guest) on November 21, 2021

😆 Naihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 16, 2021

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on October 27, 2021

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Akech (Guest) on October 23, 2021

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Kenneth Murithi (Guest) on October 20, 2021

🤣😄😊

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Sultan (Guest) on October 8, 2021

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Andrew Mahiga (Guest) on October 2, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2021

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Mwanaisha (Guest) on September 16, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2021

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 25, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2021

😂 Kali sana!

Jamal (Guest) on April 8, 2021

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2021

🤣🤣😄😆

Elizabeth Mtei (Guest) on March 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Issack (Guest) on March 10, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Robert Ndunguru (Guest) on February 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

Betty Akinyi (Guest) on January 25, 2021

😂🤣😂😅

Samuel Were (Guest) on January 18, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Rubea (Guest) on January 14, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Akinyi (Guest) on December 14, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2020

😂🤣😊😅

John Malisa (Guest) on November 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on October 5, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

David Chacha (Guest) on October 1, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Ann Wambui (Guest) on August 25, 2020

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Carol Nyakio (Guest) on July 13, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Kahina (Guest) on June 13, 2020

😆 Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on June 2, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edward Chepkoech (Guest) on May 28, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Betty Cheruiyot (Guest) on May 16, 2020

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Victor Malima (Guest) on March 20, 2020

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Mwinyi (Guest) on February 22, 2020

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Fadhila (Guest) on February 4, 2020

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Janet Mbithe (Guest) on January 1, 2020

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Mwanais (Guest) on December 21, 2019

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 4, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Violet Mumo (Guest) on November 28, 2019

😆 Hii imenigonga kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2019

😂😂

Safiya (Guest) on November 6, 2019

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on November 3, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Catherine Mkumbo (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2019

😊😂😅👏

Joseph Kitine (Guest) on October 15, 2019

😂😅

Francis Mrope (Guest) on September 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Sarah Karani (Guest) on August 14, 2019

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Fadhili (Guest) on July 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Wairimu (Guest) on June 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Violet Mumo (Guest) on June 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Nancy Akumu (Guest) on May 29, 2019

😂👌

David Musyoka (Guest) on April 15, 2019

😂👌😆😊

Latifa (Guest) on April 8, 2019

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on March 28, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Majaliwa (Guest) on March 22, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Related Posts

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact