UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaππ
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπππ
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπππ
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπππ
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπππ
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπππ
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπππ
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπππ
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaππ
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπππ
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamkeβ¦.. VIVA GENTLEMENππ½π

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_598584a233d0ed5324bc3ffaf2641fae, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_598584a233d0ed5324bc3ffaf2641fae, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Salima (Guest) on December 3, 2021
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Charles Mboje (Guest) on November 1, 2021
Hii imenibamba sana! ππ
Selemani (Guest) on October 24, 2021
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2021
ππ€£π
Rose Mwinuka (Guest) on October 16, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Josephine (Guest) on August 16, 2021
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Rukia (Guest) on August 11, 2021
π Siwezi kuacha kucheka!
Lydia Mutheu (Guest) on August 4, 2021
ππ ππ
Baraka (Guest) on July 28, 2021
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2021
π€£ππ
Linda Karimi (Guest) on July 1, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Mary Mrope (Guest) on June 30, 2021
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Ruth Kibona (Guest) on June 29, 2021
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on June 15, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Ann Awino (Guest) on June 14, 2021
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
David Sokoine (Guest) on May 31, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Patrick Mutua (Guest) on April 30, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2021
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Jafari (Guest) on April 14, 2021
π Hii ni ya kuhifadhi!
Betty Cheruiyot (Guest) on March 18, 2021
Umesema kweli! ππ
John Mushi (Guest) on March 10, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on March 6, 2021
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Victor Malima (Guest) on March 1, 2021
ππ€£ππ
Bernard Oduor (Guest) on February 23, 2021
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Christopher Oloo (Guest) on February 13, 2021
Hii imenichekesha sana! ππ
George Mallya (Guest) on February 4, 2021
Nimefurahia sana hii! π π
Grace Mligo (Guest) on January 21, 2021
Napenda jokes zenu! ππ
Patrick Akech (Guest) on January 13, 2021
π Siwezi kuacha kucheka!
Nuru (Guest) on December 4, 2020
π Bado nacheka!
Mwakisu (Guest) on November 16, 2020
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Elizabeth Malima (Guest) on October 22, 2020
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Charles Mrope (Guest) on October 14, 2020
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Tambwe (Guest) on September 18, 2020
π Kali sana!
James Kimani (Guest) on September 7, 2020
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Nuru (Guest) on September 1, 2020
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2020
π Lazima nihifadhi hii!
Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2020
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Moses Mwita (Guest) on June 17, 2020
π Dhahabu ya vichekesho!
Robert Ndunguru (Guest) on June 8, 2020
π πππ
Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2020
ππ€£
Peter Mwambui (Guest) on April 24, 2020
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Nancy Akumu (Guest) on April 7, 2020
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Grace Njuguna (Guest) on April 4, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Mary Sokoine (Guest) on March 26, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2020
πππ
Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2020
πππ€£
Lucy Mahiga (Guest) on March 10, 2020
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Peter Mwambui (Guest) on January 6, 2020
π Hii ni kali sana!
Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on December 3, 2019
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Mary Njeri (Guest) on November 29, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Anthony Kariuki (Guest) on November 28, 2019
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
John Kamande (Guest) on November 17, 2019
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Mgeni (Guest) on November 3, 2019
π Kali sana!
Francis Mrope (Guest) on November 1, 2019
π Umenishika vizuri!
Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2019
π Nacheka hadi nalia!
Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£