Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaβ¦. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanzaβ¦" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.
Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000β¦ Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.
Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.
Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.
Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.
Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.
NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"
Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.
Irene Akoth (Guest) on April 27, 2022
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Anna Kibwana (Guest) on April 27, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Raphael Okoth (Guest) on April 23, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Benjamin Masanja (Guest) on April 4, 2022
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2022
Nimefurahia sana hii joke! π π
Edward Chepkoech (Guest) on March 22, 2022
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Joseph Kawawa (Guest) on March 15, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Janet Sumari (Guest) on March 4, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Anna Malela (Guest) on February 7, 2022
π€£π€£ππ
Nashon (Guest) on February 7, 2022
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
David Sokoine (Guest) on January 31, 2022
π Bado ninacheka!
Sarah Achieng (Guest) on January 15, 2022
ππ ππ
Ann Awino (Guest) on December 19, 2021
ππππ
Mhina (Guest) on December 19, 2021
π Bado nacheka!
Lydia Mzindakaya (Guest) on December 11, 2021
π Nitaiiba hii bila shaka!
Rukia (Guest) on December 7, 2021
π Nacheka hadi chini!
Victor Malima (Guest) on December 3, 2021
ππππ
Grace Majaliwa (Guest) on November 30, 2021
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Lucy Kimotho (Guest) on November 17, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Andrew Mahiga (Guest) on September 30, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Hassan (Guest) on September 16, 2021
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2021
π Umeimaliza kabisa!
Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Khadija (Guest) on August 12, 2021
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2021
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Umi (Guest) on June 23, 2021
π Kali sana!
Jacob Kiplangat (Guest) on June 21, 2021
Hii imenibamba sana! ππ
Jamal (Guest) on June 17, 2021
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Kheri (Guest) on June 14, 2021
π Hii ni kali sana!
Joseph Kiwanga (Guest) on May 22, 2021
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Janet Wambura (Guest) on May 19, 2021
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
John Mwangi (Guest) on May 9, 2021
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Raphael Okoth (Guest) on May 9, 2021
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Chum (Guest) on April 20, 2021
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Jafari (Guest) on April 6, 2021
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Stephen Mushi (Guest) on April 6, 2021
Hii imenibamba sana! π π€£
Charles Mboje (Guest) on March 20, 2021
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Robert Ndunguru (Guest) on March 13, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on February 14, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Patrick Mutua (Guest) on January 31, 2021
π Bado nacheka!
Victor Kamau (Guest) on January 28, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Victor Kamau (Guest) on December 8, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Peter Mbise (Guest) on December 7, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Alice Jebet (Guest) on November 25, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Jane Muthoni (Guest) on November 24, 2020
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Asha (Guest) on November 23, 2020
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Henry Sokoine (Guest) on November 14, 2020
ππ€£ππ
Nchi (Guest) on November 5, 2020
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
James Kimani (Guest) on September 28, 2020
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Patrick Akech (Guest) on September 18, 2020
Nimecheka hadi machozi π€£π
Ruth Mtangi (Guest) on September 16, 2020
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Jabir (Guest) on September 16, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2020
π πππ
Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
George Ndungu (Guest) on May 21, 2020
π€£π€£ππ
Robert Ndunguru (Guest) on May 13, 2020
π Naihifadhi hii!
Rose Waithera (Guest) on April 24, 2020
π ππ
Andrew Mahiga (Guest) on April 12, 2020
π Hii ni dhahabu!