Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.
2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja⦠wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.
4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.
5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.
6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!
7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.
8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!
Wachaga mnisamehe!
ππππββ
Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2024
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Joseph Njoroge (Guest) on June 4, 2024
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Moses Mwita (Guest) on April 28, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Ruth Mtangi (Guest) on March 18, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Kassim (Guest) on March 16, 2024
π Umenishika vizuri!
Nassor (Guest) on March 9, 2024
π Bado nacheka!
John Mushi (Guest) on February 28, 2024
π Nilihitaji hii!
Tabitha Okumu (Guest) on February 18, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Linda Karimi (Guest) on February 1, 2024
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Mariam (Guest) on January 28, 2024
π Naihifadhi hii!
Rabia (Guest) on January 19, 2024
π Nimeipenda kabisa hii!
Joseph Kiwanga (Guest) on December 29, 2023
π Hii ni dhahabu!
Margaret Mahiga (Guest) on December 18, 2023
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Charles Mrope (Guest) on December 5, 2023
ππ€£π₯
Peter Mbise (Guest) on November 28, 2023
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Robert Okello (Guest) on November 24, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Mwalimu (Guest) on November 3, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
Jane Muthui (Guest) on October 13, 2023
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Moses Mwita (Guest) on October 10, 2023
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Halima (Guest) on October 4, 2023
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Josephine Nekesa (Guest) on August 4, 2023
π Nacheka hadi chini!
Mwajuma (Guest) on August 1, 2023
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Edward Lowassa (Guest) on July 30, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mary Kendi (Guest) on July 30, 2023
π Nacheka hadi nalia!
Stephen Kikwete (Guest) on July 17, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Janet Sumari (Guest) on July 9, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
David Ochieng (Guest) on July 7, 2023
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Francis Njeru (Guest) on June 14, 2023
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Ndoto (Guest) on May 24, 2023
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Salma (Guest) on May 18, 2023
π Dhahabu ya vichekesho!
Raphael Okoth (Guest) on May 18, 2023
π€£ππ
Grace Minja (Guest) on May 4, 2023
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Lucy Mushi (Guest) on April 30, 2023
ππ π
Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Jafari (Guest) on April 15, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Janet Sumari (Guest) on March 27, 2023
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Victor Kamau (Guest) on March 25, 2023
ππ€£
Henry Sokoine (Guest) on March 11, 2023
Napenda jokes zenu! ππ
Leila (Guest) on March 2, 2023
π€£ Sikutarajia hiyo!
Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2023
ππ€£ππ
Ruth Kibona (Guest) on February 21, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Alice Mwikali (Guest) on February 12, 2023
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Rahma (Guest) on February 4, 2023
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2023
π€£ππ
Nora Kidata (Guest) on January 27, 2023
π Nitaiiba hii bila shaka!
Charles Mrope (Guest) on January 15, 2023
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Catherine Naliaka (Guest) on January 13, 2023
πππ π€£
Victor Malima (Guest) on January 9, 2023
π Kali sana!
Zawadi (Guest) on December 26, 2022
π Kichekesho kamili!
Linda Karimi (Guest) on December 12, 2022
π€£π€£ππ
Agnes Njeri (Guest) on November 1, 2022
Hii imenifurahisha sana! ππ
Zubeida (Guest) on October 24, 2022
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Dorothy Majaliwa (Guest) on October 17, 2022
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Mchawi (Guest) on September 18, 2022
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Kijakazi (Guest) on August 24, 2022
π Umeshinda mtandao leo!
Shani (Guest) on August 6, 2022
Kama kawaida! Bado nacheka! π
John Mwangi (Guest) on July 29, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2022
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Henry Mollel (Guest) on July 19, 2022
Huyu alikuwa na point! ππ